MC Pilipili ulimfanya nini Miss Shinyanga 2014 Nicole Franklin?

MC Pilipili ulimfanya nini Miss Shinyanga 2014 Nicole Franklin?

Basi ndiyo watadanga hadi uzeeni......Hivi bella mpanda ile mimba ni ya jack??
Bella Mpanda ana mimba? Maisha yanaenda kasi sana. Jack Pemba kwani walikua serious hivyo? Unaweza kuta ya Luteni Kalama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bella Mpanda ana mimba? Maisha yanaenda kasi sana. Jack Pemba kwani walikua serious hivyo? Unaweza kuta ya Luteni Kalama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha anasema ni ya mkaka.mmoja eti sio jack alivyokuwa anajishauaa sasa na hiyo party yake mxiewww
 
Huyo MC Pilipili ni mwingine au ni yule yule wa NSWASWA Dodoma? kuna siku nilipishana nae tena was week days amevaa suti sio tuu ya kishamba ni yahovyo kwa vipi kitambaa na muenekana na rangi rangi as if ni gauni
 
Alafu kingu mwenyewe jamani unajuaa simuelewagi yaan huwa hanishawishi bora hata yule mabula wa mwanza naweza kucatch grenade for him ndo type zangu zile na marehemu philip njombe hata heche piaa lol
We dada una majivuno kama vile ni mzuuuuri na mambo safiiiii!! Anyway ni maoni yako.
 
We dada una majivuno kama vile ni mzuuuuri na mambo safiiiii!! Anyway ni maoni yako.
Kilaa mtu na anachokipendaa ndio simpendi hujaona nilio wataja hapo???hebu kwendaga huko hamna mwanamke mbayaaa kwa taarifa yako as longer as engine inafanya kazi juaa kuwa mi mzuri
 
Kilaa mtu na anachokipendaa ndio simpendi hujaona nilio wataja hapo???hebu kwendaga huko hamna mwanamke mbayaaa kwa taarifa yako as longer as engine inafanya kazi juaa kuwa mi mzuri
Uandishi wako sio mzuri bebiiiii!!
 
Huyu miss shinyanga anajishugulisha na na nini ukiachana na kutembea na mc pili pili sijui hawa ndo wadangaji
 
Back
Top Bottom