MC Pilipili unaboa TV 1 kwa kukopi vichekesho toka Kenya

MC Pilipili unaboa TV 1 kwa kukopi vichekesho toka Kenya

umaarufu kidogo alioupata unamsahaulisha kua "comedy designer" badala yake "dstv" ndo imekua designer wake....mb.uzi kabisa
kuna stand up comedy moja iko kenya inatwa "churchill show" pale kuna comedy ma hardworker toka waanze kunichekesha sijawahi kuona "marudio"
 
Arudie kazi ya ualimu tu... kakosa ubunifu
 
huyu huwa ni mjinga sio mchekeshaji
 
Churchil show..ndo show bora zaid ya vichekesho EA wengine hawa wanajichekesha wenyewe
Show za comedy ni Churchill, na original comedy, kuna binti sijui wa Uganda yulee. Wengine haswa hawa wa EA TV ndio wananikera sanaaa. Bora wote wafanye singeli
 
Unakuta comedian anatumia ulemavu kuchekesha, seriously?? Waangalie wenzao wakina omond, Kevin hart, etc etc
 
Na TV za kenya zina copy katika TV moja ya Ghana

na hiyo tv ya ghana (Viasat 1) wamecopy pia content kutoka kwa watu wa magharibi kuna show ilikuwepo abc kama sio abc basi fox channel huko maandishi matatu. HAKUNA KITU KIPYA HAPA DUNIANI watu wanacopy kisha wanabadili kitu kidogo sana
 
Somehow Brother K lkn Huyo Pilipili Hata ufizi tu sioneshiii
 
Sijui hata hao wanaomwitaga mchekeshaji, sijui anawachekeshaga nini. Nilimwona wa ajabu sana baada ya kuona anaingiza sauti kwny vile vichekesho vya wajamaa wa Kenya, kwanza hajui kama Watz wafuatilia hicho kipnd cha NASWA kupitia Citizen Tv? au ndio hivyo anajidanganya mwenyew kuwa na yeye ameibua kitu kipya!!?
Mliopo karibu na huyu mtu, mshaurini mwenzenu ajipange aje na kitu kipya, si hivyo vya kuibia kwa wenzake!!
 
Back
Top Bottom