Mc Pilipili utanisamehee kwa ukweli huu "huna kipaji cha kuchekesha"

Kuchekesha ni kipaji, si kuongea sanaaaa... Ubunifu muhimu
 
Muanzisha mada naomba nikufahamishe kitu kimoja. Sanaa ya uchekeshaji ina changamoto ile ile inayoikumba sanaa ya uigizaji Tanzania.

Mchekeshaji ndio huyo huyo mtunzi ndio huyo huyo director. Shida kubwa hapa ni kupata MTUNZI wa kichekesho. Ikiwa MC Pili Pili anatunga visa yeye mwenyewe na anachekesha jukwaani yeye mwenyewe, basi anapaswa kupongezwa maana si kazi ndogo kila mwisho wa wiki uamke na kituko kipya.

Unavyoangalia Perfect Strangers, usije ukadhani wao ni watunzi wa vile vituko. Wao ni wachekeshaji tu.

Ikiwa wewe unaamini kuwa unacho kituko cha kuwachekesha watu na unahisi Mc Pili Pili anafit kwa personality yake, basi itumie hiyo kama fursa na muingie ubia badala ya kuamka alfajiri na majungu yasiyo na msingi.

Wasalaaam,
Mwana Mtoka Pabaya
 
Nilidhani ni mimi tu kumbe na wengine mnaliona hilo, sasa kuna huyo pilipili na msanii mmoja anajiita steve nyerere huyu yeye bora abaki kuigiza sauti za watu ile.kwenye kuigiza ndio simuelewi kabisaa
 
UBINADAMU KAZI. MC MPILIPILI AMEKUWA MCHEKESHAJI TANGU AKIWA SHULE. KIPAJI PALE KIPO.
KAMA UNATAKA KUMSHAURI ABORESHE KAZI YAKE FANYA HIVYO. ILA KUMKATISHA TAMAA HAPANA. TUJENGE CHETU.
 
Mi nimezoea kuwaangalia kina eddie grifen kina chris rock ,nkiangaliaga hiz za bongo/africa naonaga takataka..ni sawa nakuangalia 24hrs na muvi za kina rey,pumbavuuu,..
 
Mi nimezoea kuwaangalia kina eddie grifen kina chris rock ,nkiangaliaga hiz za bongo/africa naonaga takataka..ni sawa nakuangalia 24hrs na muvi za kina rey,pumbavuuu,..
Acha Roho Mbaya Kwa Hiyo Bongo Hamna Mchekashaji?
 
Mpeni Changamoto Na Kumshaur Awe Mbunifu Lkn Co Kusema Yeye Co Mchekeshaj, Kwan Hata Akiacha Ww Hautoweza Kumuingizia Kpato Anachopata Kwa Kaz Hyo. Kucheka Pia Ni Maumbile Ya Mtu Km Vle Ulivyo Uchekeshaj Wenyewe. Kinancho Nichekesha Mm Co Lazma Kiwe Kichekesho Kwako Uelewe, So Wapo Watao Cheka Na Ww Utacheka Vya Mwingine. Ukiweza Kumchekesha Jk Au Obama, Udhan Itakuarah Kumchekesha Anko Magu Au Trump, Inategemea Na Mambo Utayozungumzia Na Intrest Zao.
 
True.!! Mi mwenyewe huwa cmuelewi kbsa infact ukwel unauma
 
Hata mm naona..akichekesha anachekesha yy ndio anacheka zaidi kuliko wasikilizaji...anajivunja mbavu mwenyewe
 
So long aliwafunika juzi Eric Omondi na Teacher Mpamire nadhani tumpe moyo na tuzidi kupenda vya kwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…