Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Roho yake ipumzike mahali pema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kuandika kama wewe vile! Asante kwa kutukumbusha. Jamaa MCD tutammis sana kama tunavyommis Baba Diana, Baba Zaituni, Baba Sharifa (Abuu Semhando).
Da, babaa Diana, Babaa Sharrif, the late Abuu Semhando, ajali ya pikipiki kugongwa na gari ilikatisha uhai wake, nadhani ilikuwa Tangi bovu au Samaki, kule Mbez Beach. Huyu umahiri wake ulianzia tangu akiwa Vijana Jazz( Vijana Orcherstra, Air Pamba moto, Saga Rhumba). Alikuwa hodari. R.I.P MCD,RIP Semhando, na kama ni kweli taarifa za kifo cha mzee Dude yule muigizaji wa FUTUHI kule Star Tv, basi nae RIP!
Hii tabia ndo inafanya ukimwi uonekane ugonjwa wa aibu..
Daaah niliona jana na Ridhiwani Kikwete alipost katika FB page yake na picha. Hawa wanamuziki na wasanii wetu Mungu awasaidie sana na maisha wanayopitia na vifo vyao vinakuwa vya tabuu maana hata huduma zinakuwa duni sana wakipata maradhi. Rest in peace MCD!!!Habarini za mchana wana JF.
Aliyekuwa mpiga drums wa bendi ya Twanga Pepeta ndg. Soud Mohammed aka MCD amefariki dunia huko katika hospital ya KCMC alipokuwa amelazwa.
Soure: Kongozi wa Twanga Pepeta.
Mungu ailaze roho yake mahal pema peponi.Amen
APEPE MCD, Nini chanzo cha kifo chake?
Daaah mambo ya kuugua muda mrefu haya...pumzika wewe mcd
Daaah niliona jana na Ridhiwani Kikwete alipost katika FB page yake na picha. Hawa wanamuziki na wasanii wetu Mungu awasaidie sana na maisha wanayopitia na vifo vyao vinakuwa vya tabuu maana hata huduma zinakuwa duni sana wakipata maradhi. Rest in peace MCD!!!
:angry:Acha kuropoka wewe. Nani kakuambia huduma yake ilikuwa duni? Sisi ndugu ndio wa kuongea, heshima ni kitu cha bure. Kifo kipi ni cha raha wewe punguani? Rest your 'ASS':yell: in peace.
simsemi vibaya wala sina nia mbaya! Naweza kuonekana wa ajabu kwa kasumba tuliyonayo ya kuficha vitu. Ila mcd alikuwa ni mwathirika kama unakumbuka aliyekuwa mkewe nae alifariki hivi karibuni alikuwa mcheza show wa twanga anaitwa Mwantum