Vipi Celina Combani? Hata yeye alisema bora Lowasa kahama ili akafie Chadema.. Na kifo chake kichunguzwe pia?mungu wa bavicha....
inatakiwa uchunguzi ufanyike hapa,huyu mgombea atatumalizia wanasiasa jamani....
Chadema mnapofurahia kifo hiki itabidi uchunguzi mkali uunganishe na dots za kifo cha Chacha Wangwe, inaonyesha mlivyofurahi basi kuna kitengo cha mambo hayo hapo kwenu, haiwezekani mfurahie msiba. Na ICC iunganishe matukio haya.
Mtikila hakuwa mgombea, hvyo hamna effect yoyoteWataalam wa mambo ya uchaguzi, katiba inasemaje endapo mgombea wa kiti cha urais ATAFARIKI siku chache kabla ya uchaguzi?
Wataalam wa mambo ya uchaguzi, katiba inasemaje endapo mgombea wa kiti cha urais ATAFARIKI siku chache kabla ya uchaguzi?
Sasa tusishindane na MUNGU,Tukaishi chini ya laana,tumchague LOWASA ni mtu ambae mtetezi wake yu hai,anachofanya ni kukaa kimya,mtetezi wake MUNGU anamtetea.Magufuri kama ana mheshimu na kumuogopa MUNGU ajiunge na lowasa kwa maslahi ya nchi hii,la kama anaona maslahi ya ccm nibora kuliko ya nchii aendelee kupiga pushap tu.
humu jamvini kuna wakristo basi waganga njaa tu wamejaa w anaodhani Lowassa akiingia ikulu basi na mambo yao yamenyooka. Mungu wa kisasi ni Mungu gani huyo? kweli watu wamefungwa ufahamu juu ya MUNGU wa kweli kwa k utegemea wanadamu.
Kama Tume wangempitisha kuwa Mgombea Urais na hatimaye kifo chake, maana yake uchaguzi ungeahirishwa. Ila kwa sasa ni mbele kwa mbele
Nimekuta picha mahali zikionyesha gari ndogo imepata ajali na kuna mwili wa mtu amevaaa suti anafanana kidogo na Mchungaji Mtikila. Kama ni kweli basi Mungu wa UKAWA anaishi
Chadema mnapofurahia kifo hiki itabidi uchunguzi mkali uunganishe na dots za kifo cha Chacha Wangwe, inaonyesha mlivyofurahi basi kuna kitengo cha mambo hayo hapo kwenu, haiwezekani mfurahie msiba. Na ICC iunganishe matukio haya.
Ni kweli lakini ni mbaya zaidi kushabikia ugonjwa wa mtu. Kwa kifupi mtu ukishakufa hata watu waseme nini hutasikia hata ukiombewa na maaskofu million moja kama hukutubu kabla hujafa njia yako ni ile pana-yaani ni usawa wa ahera. Lakini unapomshambulia mtu akiwa bado yuko hai eti utamshitaki mahakamani kwa kugombea uraisi akiwa mgonjwa hilo ni baya na linaumiza roho ya huyo mgonjwa. Ni haki ya kila mtu kugombea uraisi hata kama ni mgonjwa. Niseme tu Lowassa ni mtu mwenye busara sana kwani pamoja na kutukanwa yeye hajazungumzia hilo na mke wake ni kutabasamu tu. Acheni Mungu aitwe Mungu!Pamoja na kwamba watu wana mtizamo tofauti kisiasa nadhani si vyema kushabikia umauti wa mtu mwingine
Point ni kuwa kuna watu ukikosana nao,jiandae kwa ajali. Ref: ajali ya mwakyembe,ajali ya Salome (rip)/zitto, ajali ya wangwe (rip).