TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

mungu wa bavicha....
inatakiwa uchunguzi ufanyike hapa,huyu mgombea atatumalizia wanasiasa jamani....
Vipi Celina Combani? Hata yeye alisema bora Lowasa kahama ili akafie Chadema.. Na kifo chake kichunguzwe pia?
 
Maandiko kW wakristo yanasema kisasi ni juu ya Mungu.mja wa Mungu akikushitaki kwa Mungu huwez epuka mkono wake
 
Chadema mnapofurahia kifo hiki itabidi uchunguzi mkali uunganishe na dots za kifo cha Chacha Wangwe, inaonyesha mlivyofurahi basi kuna kitengo cha mambo hayo hapo kwenu, haiwezekani mfurahie msiba. Na ICC iunganishe matukio haya.

Na Celina Kombani vip?
 
Sasa tusishindane na MUNGU,Tukaishi chini ya laana,tumchague LOWASA ni mtu ambae mtetezi wake yu hai,anachofanya ni kukaa kimya,mtetezi wake MUNGU anamtetea.Magufuri kama ana mheshimu na kumuogopa MUNGU ajiunge na lowasa kwa maslahi ya nchi hii,la kama anaona maslahi ya ccm nibora kuliko ya nchii aendelee kupiga pushap tu.

Hayo ndiyo mafundisho ya dini mpya. Ikiwa watu wanafanya kufuru mbaya mbele za Mungu na kuvunja amri lakini Mungu hawauwi, ila wakimtusi lowasa eti, Mungu huyo huyo ana act immediately..! Anyway, tulishaambiwa tutawatambua kwa matendo yao.
 
Mimi sio.mtabiri but juzi kilikuwa naUzi wa mtikila akitusi afya ya lowassa star TV nikaandika hivi " huyu akaangalie na nakumbuke ya Celina kombani na yule KADA wa ilala coz na yeye Mungu atamjibu very soon" Ona kilichotokea
 
Mwenyezi Mungu hadhihakiwi,watu wanaguswa sana na dhihaka dhidi ya wapendwa wao na wanamlilia Mungu awape majibu sasa!Mimi nasema mapenzi ya Mungu yatimizwe.Mungu amlaze mahali panapostahili
 
R.I.P MTIKILA

dedication

KIFO by Remy Ongala

SEE YOU AGAIN by Wizkhalifa
 
humu jamvini kuna wakristo basi waganga njaa tu wamejaa w anaodhani Lowassa akiingia ikulu basi na mambo yao yamenyooka. Mungu wa kisasi ni Mungu gani huyo? kweli watu wamefungwa ufahamu juu ya MUNGU wa kweli kwa k utegemea wanadamu.

Hata wewe na huyo ester ni waganga njaa kwa sababu mmeanza kuhukumu kabla hamjamuomba Mungu majibu.Ni yupi mkweli kati yako na unayemuita mganga njaa?Kama hujitambui kaa kimya au usisome ujumbe kabisa.
 
Kama Tume wangempitisha kuwa Mgombea Urais na hatimaye kifo chake, maana yake uchaguzi ungeahirishwa. Ila kwa sasa ni mbele kwa mbele

Naona mnatamani sana angekuwa mgombea ehee.Ahaaaa Lissu alisema amustahili kuendelea kubaki madarakani hata dakika moja baada ya muda halali.
 
Nimekuta picha mahali zikionyesha gari ndogo imepata ajali na kuna mwili wa mtu amevaaa suti anafanana kidogo na Mchungaji Mtikila. Kama ni kweli basi Mungu wa UKAWA anaishi

Mungu wa UKAWA ni muuaji? acha ujinga na kuwa obsessed! Mungu wa UKAWA ni yupi? huyu wa neema na rehema??

angekuwa ana hukumu hivyo basi sio wa kawaida

imetokea basi ila msihusishe na mengine ni taboo
 
Chadema mnapofurahia kifo hiki itabidi uchunguzi mkali uunganishe na dots za kifo cha Chacha Wangwe, inaonyesha mlivyofurahi basi kuna kitengo cha mambo hayo hapo kwenu, haiwezekani mfurahie msiba. Na ICC iunganishe matukio haya.

Vigo gani vilipaswa kuchunguzwa,mile cha Kolimba kilichotokea mbele ya meza ya duara ya Kamati kuu ya chama cha FISIEM akihojiwa kwa kauli yake ya "Fisiem imepoteza dira na mwelekeo"au vifo vya Wangwe na Mtikila ambavyo vimesababishwa na ajali za barabarani?Acha kujitoa ufahamu ewe zao la Mitihani ya Multiple choice na "kushedi" kwenye OMR.Tuliopata Elimu sahihi hatuwezi kujenga hoja za ki-multiplechoice na za kushedi kwenye omr kama zako,pole.
 
Pamoja na kwamba watu wana mtizamo tofauti kisiasa nadhani si vyema kushabikia umauti wa mtu mwingine
Ni kweli lakini ni mbaya zaidi kushabikia ugonjwa wa mtu. Kwa kifupi mtu ukishakufa hata watu waseme nini hutasikia hata ukiombewa na maaskofu million moja kama hukutubu kabla hujafa njia yako ni ile pana-yaani ni usawa wa ahera. Lakini unapomshambulia mtu akiwa bado yuko hai eti utamshitaki mahakamani kwa kugombea uraisi akiwa mgonjwa hilo ni baya na linaumiza roho ya huyo mgonjwa. Ni haki ya kila mtu kugombea uraisi hata kama ni mgonjwa. Niseme tu Lowassa ni mtu mwenye busara sana kwani pamoja na kutukanwa yeye hajazungumzia hilo na mke wake ni kutabasamu tu. Acheni Mungu aitwe Mungu!
 
kiukweli watu wanamnyanyapaa sana EDO yaani wanamwona kama vile hana haki ya kuishi kwa ugonjwa alionao, hatukatai anaumwa lakin kutamka kuwa atakufa mda si mrefu hapaswi kuwa raisi si vyema mch. mtikila alilizungumza hili kwa roho ya chuki na si ya kiutu leo yeye katangulia!
 
Point ni kuwa kuna watu ukikosana nao,jiandae kwa ajali. Ref: ajali ya mwakyembe,ajali ya Salome (rip)/zitto, ajali ya wangwe (rip).

kweli kabisa. kuna watu hata ukiwapinga tu utasikia umepata ajali. mkuu umenikumbusha ajali ya chacha wangwe na salome mbatia. mwakyembe nae alikuwa anakwenda. baada ya ajali kushindwa ilifuata sumu. akina mwandosya wakaponea chupchup. akina zito wanaelewa vizuri sana.
halafu watu hao hao tunasema wanafaa kuwa viongoz wa nchi na kuleta mabadiliko. maajabu ya karne haya.
free masson wana nafas yao apa
rip mch mtikila.
 
Back
Top Bottom