TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Baada ya kutokea ajali nyingine another hili iliyomuua Balozi Mushi, nikaikumbuka hii ajali ya Mchungaji Mtikila, baada ya thread hii jf mode wakaweka mabandiko ya Mchungaji Mtikila humu, kusema ukweli imenichukua siku nzima kuyapitia, na katika kuyapitia wazo likanijia, inawezekana kwa Tanzania, jf ndio the biggest and the richest source of reference materials!. How can we store all these materials kwa vizazi vijavyo?.

Wenzetu Waingereza wao wanatunza kila taarifa kwenye Encyclopedia Britannica, mnaonaje kama JF tutaanzisha kitu kinachoutwa "JF Encyclopedia De Tanzania", halafu kila kinachoandikwa humu jf, kinakuwa na back copies za print out?.

Sisi wengine humu ni kama manabii fulani, japo sijui savers za jf ziko wapi lakini something is telling me, on line savers alone is not safe!, kuna siku tutapata cyber attack from UFO na kupoteza all these rich materials!.

Mkuu Maxence Melo , andaa andiko la kuanzisha JF Reference Library, humu tuweke print out ya ile michango yetu muhimu,
Mfano mimi nilijinga jf mwaka 2006, ile tarehe July, 2008, kuna mtu alipandisha bandiko humu jf kuhuhusu na jinsi ninavyoendesha pikipiki, miongoni mwa wachangiaji mle, kuna walio ombea nipate ajali nif...!, baada ya 7 days nilipata ajali mbaya ya pikipiki . Bandiko like lilifungwa likafurwa!, likapandishwa bandiko hili Pascal Mayalla apata ajali..... kwa sasa hakuna namna ya kuona kile kilichoandikwa mule, natamani nimtafute yule nabii wa majanga, usikute anaishi tuu kama mtu wa kawaida na alijisemea tuu jamaa atapata ajali na ajali ikajitokea tuu, kumbe he/she is very powerful, ana powers fulani, if properly channelled huyu ni mtu tajiri sana!.

Tuanzishe JF Reference Library tuweke print out. Nashauri 2026 tufanye maadhimisho ya 20 years of JF in Tanzania, let's compiles baadhi ya mabandiko yenye JF impact kwa taifa letu for the past 20 years!, ni sisi jf ndio tumeumba viongozi wa taifa hili kwa kauli zetu humu and it's very unfortunately pia ni sisi ndio tumewaua kwa kuanza kuwaua humu kisha wakaja kufa kweli.

Siku hiyo ya maadhimisho ya 20 years of JF, ndio tuzindue hiyo print library, italisaidia sana taifa hili!.

Hili mnalionaje?.
P
Naunga mkono hoja 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya vifo vya kuchunguzwa...baada ya kutuhumu watu kuhusu kifo cha Chacha Wangwe....ipo siku mambo yatakuwa wazi
 
Kaka Pascal Mtikila alikua “asset” ; alitakiwa kulindwa kwa sababu ukiacha siasa zake na tofauti na seriklai alisimama kidete kuibua mpango wa kujitanua wa “ponsiano pilato” … ule ndii mpango uliopelekea Jk kushtuka ( tafuteni lile andiko maalum la Mtikila juu ya ule mpango lipo hapa ndani ) ; amiri jeshi mkuu akachachamaa akaja na “operesheni kimbunga” ambayo baadaye ikawa moja ya chanzo cha ugomvi mkubwa wa viongozi

Mtikila akabebeshwa tuhuma za kuwahifadhi “genocide perpetrators” ni ikaamuliwa auliwe …na hicho ndo kilitolea
Walichagua kumuuwa wakati wa uchaguzi ili ionekane ni siasa za ndani

Gari ya mtikila iliwekewa dawa kwenye tairi na walijua ndani ya km 40 lazima yatapasuka wawaka wanamfuata nyuma ; ilipopinduka kwa kuacha njia walifika kama wasamaria wema akiwa hajafa wakati wanajifanya wanawaokoa
Wakamnyonga alafu watu walipoanza kujaaa nao wakayeyuka ….

That is how Mtikila was killed .
Aiseee......
 
Kaka Pascal Mtikila alikua “asset” ; alitakiwa kulindwa kwa sababu ukiacha siasa zake na tofauti na seriklai alisimama kidete kuibua mpango wa kujitanua wa “ponsiano pilato” … ule ndii mpango uliopelekea Jk kushtuka ( tafuteni lile andiko maalum la Mtikila juu ya ule mpango lipo hapa ndani ) ; amiri jeshi mkuu akachachamaa akaja na “operesheni kimbunga” ambayo baadaye ikawa moja ya chanzo cha ugomvi mkubwa wa viongozi

Mtikila akabebeshwa tuhuma za kuwahifadhi “genocide perpetrators” ni ikaamuliwa auliwe …na hicho ndo kilitolea
Walichagua kumuuwa wakati wa uchaguzi ili ionekane ni siasa za ndani

Gari ya mtikila iliwekewa dawa kwenye tairi na walijua ndani ya km 40 lazima yatapasuka wawaka wanamfuata nyuma ; ilipopinduka kwa kuacha njia walifika kama wasamaria wema akiwa hajafa wakati wanajifanya wanawaokoa
Wakamnyonga alafu watu walipoanza kujaaa nao wakayeyuka ….

That is how Mtikila was killed .
Aiseee......
 
Kaka Pascal Mtikila alikua “asset” ; alitakiwa kulindwa kwa sababu ukiacha siasa zake na tofauti na seriklai alisimama kidete kuibua mpango wa kujitanua wa “ponsiano pilato” … ule ndii mpango uliopelekea Jk kushtuka ( tafuteni lile andiko maalum la Mtikila juu ya ule mpango lipo hapa ndani ) ; amiri jeshi mkuu akachachamaa akaja na “operesheni kimbunga” ambayo baadaye ikawa moja ya chanzo cha ugomvi mkubwa wa viongozi

Mtikila akabebeshwa tuhuma za kuwahifadhi “genocide perpetrators” ni ikaamuliwa auliwe …na hicho ndo kilitolea
Walichagua kumuuwa wakati wa uchaguzi ili ionekane ni siasa za ndani

Gari ya mtikila iliwekewa dawa kwenye tairi na walijua ndani ya km 40 lazima yatapasuka wawaka wanamfuata nyuma ; ilipopinduka kwa kuacha njia walifika kama wasamaria wema akiwa hajafa wakati wanajifanya wanawaokoa
Wakamnyonga alafu watu walipoanza kujaaa nao wakayeyuka ….

That is how Mtikila was killed .
Duh!
 
Ni kweli huyu mwamba alifariki... He was among the intelligent Tanzanian..... Rest Sir
 
Back
Top Bottom