Clemence Baraka
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,694
- 650
Mungu hapendi mzaha kwani yeye ndiye humpa mja wake afya na maradhi kwa hiyo basi kifo chake ni fundisho kwa wengine km akina Mwigulu et el.
Na wote tuseme AmenMGONJWA WETU NA Rais WETU Mtarajiwa Ndugu Edward Ngoyai Lowasa BADO ANADUNDA TU, YU HAI, NI MZIMA.
Bado Nape. Mpaka wamjue Mungu ni Nani.
Hiki Kifo Hakina Tofauti Sana Kimazingira Na Kifo Cha Princess Diana. Ni MTEGO Aliotegewa Muda Tena Wa KIMAFIA Na Yeye AKAJISAHAU Na KUAMINI Watu WANAOMZUNGUKA 24/7. Ukishajitosa Ktk SIASA Lazima Uwe Na AKILI Zote Mbili Za KIMAFIA Na KIJASUSI Na Usiamini Yoyote. Hata Chacha Wangwe Tuliambiwa Ni AJALI Ila Tunajua Wenyewe What Happened. Hao Watu Wengine Aliokuwa Nao NI WA KUCHUNGUZWA Kwa UNDANI Mkubwa. Mliobobea Ktk INTELLIGENCE Scenario Hii IANGALIENI Kwa JICHO PANA. Mtikila ULIJISAHAU Na HUKUJILINDA Kwani Hata Huyo ULIYEKUWA UKIMWANDAMA Anajulikana Mno Tanzania Kwa UMAFIA Kama Yule MAFIA Mwingine Wa KENYA Aliyekuwa AKIWADEDISHA Wenzake Mr. Nicholas Biwwot. Hata Huyo MGOMBEA Hapa Tanzania Ktk Medani Za INTELIJENSIA Anasifika Mno Kwa Kuwabiwott Wenzie Hasa Wanaompinga. Na Najua ILI Kukwepa KUHUSISHWA Na Hiki KIFO Nina UHAKIKA 100% Kuwa Sasa Watahusishwa WANYARWANDA Kuwa Ndiyo WAMEMDEDISHA Na KUFANYA MPANGO Mzima. Hakika USILOLIJUA Ni Sawa Na USIKU WA GIZA.
Hii ndo shida ya ccm. Hamtiliagi mkatafakari mambo ni rahisi sana kusema hii kasababisha huyu lakini hmhangalii mwenendo wa ccm kabisa. Mimi hiwa najiuluza kwa ajili ya siasa tu ccm na vibaraka wao wanaenda kwenye tv na majukwa na kumuita lowasa maiti inayotembea" yaani siasa tu" kwenye hili ccm inatakiwa ipate somo kubwa sanaLowassa ni Mjenzi huru, huyu mtu hafai kuwa Rais.
cNi wendawazimu kufikiri kwamba kama humuungi mkono Lowasa utakufa,kifo ni mpango wa Mungu,rest in pc Mtikila!
Majaji watapumua!Mtikila mzee wa kufungua kesi mahakamani
Mungu huyohuyo alisema, usihukumu kabla hujahukumiwa...