TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Kifo chochote si cha kushabikia na sehem kubwa ya michango ya humu ni kuonyesha utendaji wa mungu kwamba mtu asidhihaki afya na ndo sababu ya ajali lkn hatuangalii mchango wa mtu mmoja ktk taifa hili, mfano huyu bwana kama binaadam tu alijitahidi kupigania mambo fulani fulani ambayo ndo yamekuwa kama chachu ya wanaotaka mabadiliko ktk nchi hii tena kipindi hakuna uhuru wa kujieleza kama leo kwa hiyo wana mabadiliko msipomuangalia huyu mtu kwa ujumla wake hamtauona ushujaa wake zaidi ya kauli yake tu ya kumpinga candidate wa ukawa
 
Si jambo jema kufurahia kifo cha mtu kwa kuwa tu ni ni wakosoaji wa lowasa au mtasababisha watu wawaanze kuwahisi vibaya
 
RIP Reverend Mtikila. Maisha ya mwanadamu ni kama maua, yanachanua na kisha kunyauka na kukatika toka kwenye shina. Poleni wana familia, ndugu na watanzania wote.
Kifo chake kimenishtua sana. Mwaka huu twaweza kuona (kama sote tutaumaliza) mengi.
 
Ndugu zangu habari za asubuhi,
Hii ni kutokana na kifo cha mwanasiasa maarufu nchini Mch. Mtikila aliyefariki mapema leo. (Rip) je sheria zinasemaji kwani huyu naye alikuwa ni mgombea wa urais. Na je serikali ilichelewa kufungua vyuo adi uchaguzi upite kwa sababu best known to them, je ni nimi hatima ya uchaguzi na je wataweza kufungua vyuo?
 
R.I.P Jembe Mtikila








Duh,nashindwa kusema lolote about Rev.Mtikila coz imani yangu inanikataza kuwasema vibaya waliotangulia,badala yake tuwaombee na kumuachia Mungu huku tukipata funzo kutokana na kauli na matendo ya marehemu.


May his soul rest in peace.
 
Nape amesikia habari hii, maskin mtikila jtatu alikuwa ampeleke mahakamani.
 
Aende zake akapumzike...tu
Ila mm binafsi nitamkumbuka kwa kuwa mpingaji tu, na kuwageuka ukawa na asiyetaka mabadiliko, na kupanda afya za wenzake. ..
 
Kama kawaida yao chadema walivyomuua chacha wangwe hatimaye mtikila naamini kwa tabia yao hii tutegemee kumwona yesu akirudi kwa Mara ya pili na sio chadema kwa mauaji yao kwenda lkulu lnasikitisha sana ni asiyejua kwamba lowassa ni Fisadi?
U people are insane. Lowasa ni fisadi sawa. Lakini lowasa si maiti inayotembea kama alivyosema mtikila na ccm wengine. Hamjifunzi kitu kwenye hili.!?
 
Kama ni kweli ule utabiri wa washirikina umetimia kua mgombea urais atafariki
 

Mwingira sio mlutheri!
 
naskia Jana pia alipata ajali maeneo ya njombe kibena, akawaishwa hospitali so nafkiri siku yake ilishatimia
 
We mngese sana acha nikutukane tu maana hakuna jinsi.. andrew mgoyo
 
Last edited by a moderator:
Kifo ni kifo na ugonjwa ni ugonjwa.

Ikulu siyo ICU - Mtikila.

Na Lowassa hatumchagui, ni mgonjwa sana tena mpaka anafanya mavituz (kama chato).

Kwa mungu unaemuabudu ugonjwa ni jambo la kudumu, lakini kwa MUNGU ninaemtumikia aliyeziumba mbingu na dunia, ugonjwa ni jambo la kitambo kidogo sana hata ukiamini uwezo na nguvu zake katika uponyaji!
 

Soma zaburi. 35
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…