TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Kamwulize kigwangala, Januali makamba na baba yake, bulembo, mwigulu na wengine....kwa nini wanamkashifu mtu ambaye wala hawakashifu ndipo utajua ni mchawi au mungu mtu.
Yule mgombea ubunge wa Handeni, kwa tiketi ya CHADEMA, Mohamed Mtoi, aliyefariki kwa ajali naye alizungumzia AFYA ya Lowassa nini?
 
Akawekwe anapostahiki.

Namsikitikia kuwa alikuwa hajajisalimisha kwa Muumba wake mpaka umauti unamfika.

Wewe Jee?

Bibi Marehemu si ndio alikua mfano wako mzuri hapa Jf ,sasa unamsikitikia wakati ulipaswa walau kumwonya alipokua anakosea
Masikitiko yako yatamsaidia nini sasa hivi
Alale panapostahili Mch Mtikila
 
hivi kimark two kama hicho hadi kinaanguka chali,inakua inakimbia speed kubwa kiasi gani???,,,,
 
Naanza kumwogopa Lowassa, huenda ana mambo ya ajabu ajabu.....

Hamna ni mambo ya mungu tu. Huwezi kumtukana mtu bila sababu bila mungu ajakupa adhabu. Kweli naogopa.
 
Duuuuh tutashuhudia mengi kama tutajaaliwa kufika siku ya uchaguzi.Maana dalili si nzuri
 
Kwa kumtusi tu Lowassa alipoteza heshima yake kbs kwa jamii, japo kuwa najua kura yake ingekuwa kwa magamba lkn Mungu amsamehe uovu wake!
 
Rest in peace mchungaji .acheni dhihaka kila mtu ataondoka wakati ukifika.
 
Hata ww ukiwa mbio za mita 100 na wenzako ukajikwaa exdentally utashangaa unatua na kichwa,Fanya hivo ili uweze kushaa vema kabla ya kushangaa gar
 
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa

Hahaha naona ndio ameenda kwa hakimu mkuu kushtaki...
 
Updater; tujuze pia chanzo cha ajali pia na majeruhi wengine wana hali gani?
 
Hakuna ajuae siku yake. Leo Mch. Mtikila kesho wewe.
Mtikila aliwahi kutoa maneno yasiofaa ya kifo cha Mh. Kombani India.
Hakuwa na simile katika kauli, kama mlivyo wengi humu.
Bwana ametwaa..
 
unaweza ukaanza kuamini kwamba kila anaemdhihaki Edo anakufa few days later!! Any way let"s take hold to our utterance
 
Je waliomsema JK ni vipi????

Queen Esther

 
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
Mungu hadhihakiwi..tukumbuke hizi ni kampeni tu!hayupo aijuaye kesho yake,je yeye alikuwa anaumwa nini??Tunaendelea kumuombea mgonjwa wetu ENL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…