Kumbe wafahamu kuhusu Kisasi cha Bwana halafu unauliza ni Mungu yupi huyo? Unasahau kuwa Uzima ama Mauti uu Mikononi mwa Mungu Muumba Mbingu na Nchi? Umesahau kwamba Kile Apandacho Mtu ndicho atakachovuna? Umesahau neno linalosema Usihukumu usije Ukahukumiwa? Uhai ni wa Mungu na Si wa Kina Komba, Cellina Kombani, Mtikila, et al kiasi kwamba Wamuite Mwenzao Marehemu ilihali hata Sekunde Moja mbele yao hawajui kitakachotokea? Je! Huoni kuwa kuna la kujifunza katika hili? Muogopeni Mungu, licha ya kuwa ni Mwingi wa Rehema, lakini pia Hadhihakiwi kamwe!