Mtu asije akakudanganya neno wasamehe na kuwaombea Baraka ndio laana yenyewe,unapo muombea adui yako Baraka,Mungu hugeuza baraka kuwa laana ndiyo maana hata Yuda mwenyewe alichukua kitanzi akajitundika pamoja na kuombewa msamaha na Yesu.
Hakuna ajuae siku yake. Leo Mch. Mtikila kesho wewe.
Mtikila aliwahi kutoa maneno yasiofaa ya kifo cha Mh. Kombani India.
Hakuwa na simile katika kauli, kama mlivyo wengi humu.
Bwana ametwaa..
mtu aki support maficcm mm siku zote namuombea njaa tu, kuichaguaa ccm ni laana kubwaaaaOooh politics is bad
Mungu mkubwa,hadhihakiwi akakaa kimya.
Wenye kuona na waone utukufu wake.
Mungu hadhihakiwi..tukumbuke hizi ni kampeni tu!hayupo aijuaye kesho yake,je yeye alikuwa anaumwa nini??Tunaendelea kumuombea mgonjwa wetu ENL
TCRA is watching u...
unaweza ukaanza kuamini kwamba kila anaemdhihaki Edo anakufa few days later!! Any way let"s take hold to our utterance
Updater; tujuze pia chanzo cha ajali pia na majeruhi wengine wana hali gani?
Updater; tujuze pia chanzo cha ajali pia na majeruhi wengine wana hali gani?
Naona Tanzania linaenda kuwa Taifa la kimafia.
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
Kwahiyo unataka kusemakua toka LOWASA alivoanza kua mgonjwa ajawahi kutibiwa?na kama alishatibiwa alitibiwa na fedha za ikulu?
Lowassa sio mtu wa kawaida....