hivi kimark two kama hicho hadi kinaanguka chali,inakua inakimbia speed kubwa kiasi gani???,,,,
Hujawahi ona mtu na baiskeli ya kawaida anaanguka na KUFA...!!! Baiskeli ina speed kubwa kiasi gani...?
STOP using low IQ to think...!!!
Ikifika kifo, hata bafuni unaanguka UNAKUFA TU...!!!
KIFO kikifika, kimefika... cha msingi tuchunge NDIMI zetu... sbb whatsoever will happen watu wataanza kusema UNAONA alisema hivi na vile... sasa yamemkuta.. au sasa yametokea...!!!
Ulimi, kiungo kidogo sana, ila MATATIZO YAKE MAKUBWA SANA...!! Ndimi huumba, na ndimi hubomoa...!!!
Chunga sana mdomo wako, kwani ni HAPO SHETANI ANAPITIA SANA...!!!
So, watu wanaongea saana hapa sbb Mtikila alisema maneno mabaya ya kumtabiria kifo Lowassa... ndio maana watu wana discuss sana, ili kutoa FUNZO... kuwa MUNGU HADHIHAKIWI KAMWE...HAKUNA MWENYE HATI YA KUISHI MILELE... WOTE NI WASAFIRI... TUSAFIRI SALAMA...
TUACHE kuongelea maneno maovu sana eg. FULANI ni Marehemu au jeneza linalotembea..etc etc...
Mungu anaudhika sana sanaa...!!!
So, Mungu mwacheni aitwe Mungu...!!!