TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Napenda kuchukua nafasi hii kwa masikitiko kutuma salamu za rambirambi kwa Familia pamoja na wanachama wa Chama cha DP (Democratic Party) kufuatia kifo cha Mchungaji Christopher Mtikila kilichotokea asubuhi ya leo tarehe 4 Oktoba 2015. Kwa niaba ya wenzangu katika CHADEMA na UKAWA na kwa niaba ya familia yangu, ninamwomba Mwenyezi Mungu awape faraja wafiwa na amweke Marehemu mahala pema.

Bwana Ametoa. Bwana Ametwaa. Jina Lake Lihimidiwe.

Edward Ngoyayi Lowasa
 
Good observation my friend, and I totally agree. It is time we learned some lessons rather than sticking to irrelevant points like "he shouldn't have commented on the health of another candidate"; or "There is God on UKAWA's side". Our God is a lenient one, he wouldn't take this man's life because of his comments. It is simply our bad roads, and terrible driving habits! Some vehicle was overtaking, probably with driver's wrong judgment , probably coupled with some/all these other issues mentioned above, and a life is lost. LIFE is sacred, but in Tanzania, it seems as if we don't care about life at all. It is another accident, and life goes on, with as reckless driving as ever.
 
Kuna mgombea kapeti lake la kwenda Ikulu limejaa damu za wabaya wake. Na bado wapambe wake wanasema kuna wengine bado watakufa kwasababu wamemkashifu. Ndio maana bendera ya chama chake ina rangi nyekundu.

Mungu TUSAIDIE.

Queen Esther

Duh! ............... MAADUI WALIKUWA WANAMFUATILIA KWA NYUMA.......... ALIPOJISHTUKIA AKAONGEZA SPIDI.............. NAO WAKAFURAHI NA KUZIDI KUMFUKUZA! ................... WALIPOFIKA SEHEMU HATARISHI, YENYE KONA NYINGI NYINGI, WALIMUOVATEKI KWA SPIDI KALI NA KUMTWANGA 'LASER BEAM' YA MACHONI ................!
pirate-skull-crossbones-pink-hi.png
 
Jitu moja linamaliza wapinzani wake kwa nguvu za Giza eti lipate nafasi ya kwenda ikulu,wasiseme ukweli,mbona mtikila amesema mengi zidi ya serikali lkn bado alikuwa hai, mbona wengi wakimsema kikwete ni mgojwa lkn wako hai,eti ukimsema MTU furani ni mgojwa unakufa hii inaitaji akili ya ziada kutafakari,
 
Kuna mgombea kapeti lake la kwenda Ikulu limejaa damu za wabaya wake. Na bado wapambe wake wanasema kuna wengine bado watakufa kwasababu wamemkashifu. Ndio maana bendera ya chama chake ina rangi nyekundu.

Mungu TUSAIDIE.

Queen Esther


Na wao watakufa kwani hataishi milele? Hata ikulu wanayoitaka kwa namna hii hawataipata,labda watue wote,shetani wa kubwa,
 
Yafanye yote mjigeuze mungu wa duniani lakini na nyie Mtakufa tu tena kifo KWA haya cha kuoza mwili mzima mnamchezea mungu e,
 
Mtu akiambiwa mgonjwa hafai kushika madaraka haina maana atakufa Bali hoja ni kwamba akiwa kiongozi mwenye maradhi atashindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo!Mtikila hakusema Lowassa atakufa, Bali alisema si busara kumpa dhamana ya watu m58 kiongozi mgonjwa!Si haramu kumzuia MTU kufanya kazi Fulani kutokana na ugonjwa flaniTuache UPOTOSHAJI
Yeye alikuwa daktari wa lowasa?; au lowasa alimtuma atangaze?
 
Huwajui chadema wewe. Hao ni genge la wahalifu. R.I.P Chacha Wangwe & C.Mtikila damu yenu haitapotea bure.

mkuu umewaza km mimi kwani kweny gari walikua wangapi? wamekufa wangapi? nimeona majeruhi akitoa ushuhuda kwa nn afe mtikila?
 
Chadema mnapofurahia kifo hiki itabidi uchunguzi mkali uunganishe na dots za kifo cha Chacha Wangwe, inaonyesha mlivyofurahi basi kuna kitengo cha mambo hayo hapo kwenu, haiwezekani mfurahie msiba. Na ICC iunganishe matukio haya.

Hakuna aliefurahia kifo hapa mkuu ila tu kila mtu ajue kuwa kumdhihaki mwenzako ambae wewe unamuona mgonjwa kukuzidi wewe sio vzr sasa unakufa wewe b4 huyo mgonjwa
 
Mungu aliyehai akulinde na akubariki Mhe LOWASA, hunashida na watu
 
Na wao watakufa kwani hataishi milele? Hata ikulu wanayoitaka kwa namna hii hawataipata,labda watue wote,shetani wa kubwa,

hadhabu ni hapahapa duniani kama uamni kamcheke kilema uone kazi ya Mungu
 
Kwani Mtikila alimuombea nini Lowasa? Acheni hizo. Mtikila alikuwa anasema kweli tupu kuhusu Lowasa. Ndo maana wameamua kumuua

Nani amuuwe wewe acheni uchochezi ana nn huyo auliwe hana hata theluthi 2 za kura
 
Back
Top Bottom