kweli kimeo ni kimeo2
mwenzio akinyolewa wewe anza kutia zako maji man utd mpo?
Duh! ............... MAADUI WALIKUWA WANAMFUATILIA KWA NYUMA.......... ALIPOJISHTUKIA AKAONGEZA SPIDI.............. NAO WAKAFURAHI NA KUZIDI KUMFUKUZA! ................... WALIPOFIKA SEHEMU HATARISHI, YENYE KONA NYINGI NYINGI, WALIMUOVATEKI KWA SPIDI KALI NA KUMTWANGA 'LASER BEAM' YA MACHONI ................!
Kuna mgombea kapeti lake la kwenda Ikulu limejaa damu za wabaya wake. Na bado wapambe wake wanasema kuna wengine bado watakufa kwasababu wamemkashifu. Ndio maana bendera ya chama chake ina rangi nyekundu.
Mungu TUSAIDIE.
Queen Esther
Yeye alikuwa daktari wa lowasa?; au lowasa alimtuma atangaze?Mtu akiambiwa mgonjwa hafai kushika madaraka haina maana atakufa Bali hoja ni kwamba akiwa kiongozi mwenye maradhi atashindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo!Mtikila hakusema Lowassa atakufa, Bali alisema si busara kumpa dhamana ya watu m58 kiongozi mgonjwa!Si haramu kumzuia MTU kufanya kazi Fulani kutokana na ugonjwa flaniTuache UPOTOSHAJI
Huwajui chadema wewe. Hao ni genge la wahalifu. R.I.P Chacha Wangwe & C.Mtikila damu yenu haitapotea bure.
kingunge live ITV anataka kutoa ya moyoni
Chadema mnapofurahia kifo hiki itabidi uchunguzi mkali uunganishe na dots za kifo cha Chacha Wangwe, inaonyesha mlivyofurahi basi kuna kitengo cha mambo hayo hapo kwenu, haiwezekani mfurahie msiba. Na ICC iunganishe matukio haya.
Kwahiyo Lowasa ni mchawi au mungumtu?
Ficha ujingawako mkuu,unawezakusema ukweli kua binadamu mwenzako ni jeneza anaetembea?sasa kama alisema ukweli je yeye nini kwa wakati huu?
Naanza kumwogopa Lowassa, huenda ana mambo ya ajabu ajabu.....
Na wao watakufa kwani hataishi milele? Hata ikulu wanayoitaka kwa namna hii hawataipata,labda watue wote,shetani wa kubwa,
Kwani Mtikila alimuombea nini Lowasa? Acheni hizo. Mtikila alikuwa anasema kweli tupu kuhusu Lowasa. Ndo maana wameamua kumuua
Mkuu Leo umekula nini ?? Kwa Mara ya kwanza umetoa comment bila kuendeshwa na mhemko