TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Et samahan, kama waliofariki wagombea ubunge na ubunge ukaahirishwa vip kuhus mgombea urais!? Au wanaangalia na nguvu
 
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa

Kumkashifu lowassa sio sababu ya kifo chake ni mipango ya mungu tu...acha kuhusisha kifo chake na siasa
 

Mkuu asante kutuletea hii taarifa na kuifanya jf iendelea kuwa chaneli ya be the first to know, lakini habari kama hizi za vifo, hazipaswi kutolewa bila verification!.

Vifo vinavyotokana na ajali, verification hufanya na competent authorities kama medical doctor au polisi na sio mashuhuda!.

Mode: Tuwe makini sana!.

Kama ni kweli

Mode nakuomba uzifunge rasmi thread zangu hizi
[h=3]Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100! -
[/h][h=3]Mtikila Kutinga Arumeru!. Adaiw Shetani ni Afadhali Kuliko .
[/h][h=3]Kitendo Cha Rev. Mtikila Kugomea Arrest!, Kinastahili Pongezi[/h]
RIP Mchungaji Mtikila.

Pasco
Pasco...sioni haja ya kuzifunga hizo threads coz zina mafunzo mbalimbali. Mtu anapokufa tunaobaki tunaendelea kujifunza kupitia yeye.
 
Last edited by a moderator:
Kama kawaida yao chadema walivyomuua chacha wangwe hatimaye mtikila naamini kwa tabia yao hii tutegemee kumwona yesu akirudi kwa Mara ya pili na sio chadema kwa mauaji yao kwenda lkulu lnasikitisha sana ni asiyejua kwamba lowassa ni Fisadi?

Weka ushahidi wa unachokisema! Otherwise ugeni wako usishushe hadhi ya jukwaa hili, hiki si kijiwe cha Kahawa pale Lumumba!
 
''sera na policy''??!!! anyway uccm imekujaje ktk hili? au ukisikia ukawa lazima ulete uccm? mimi nimezungumzia kazi ya mungu wa ukawa we unaleta habari ya uccm. mimi siko hapa kuzungumzia u-ccm wala u-chadema wala u-cuf n.k, my point is, kazi ya 'MUNGU' sio kuua hovyo kama unavyoamini mkuu, kama ni hivyo kila atakayemsema ENL atakufa? hebu tuone kuwa, wengine siku zao zilikuwa zimefika. ila kama unaendelea kuamini kuwa kazi ya 'mungu' wa ukawa ni kuua nakubaliana na wewe.
Kama hutaki kuzungumzia uchadema na u-ccm upo jukwaa sio(embu acha unafki hili ni jukwaa la siasa)- cha muhimu hapa ni kua siku ikifika unaondoka. Na mungu ndo anaijua hiyo siku na saa. So ukiona mtu anaugonjwa na wewe ni mzima(unapiga pushup) ukadhani yule mwenye ugonjwa atatangulia ni makosa makubwa sana. Cha muhimu tumueshimu mwenyezi mungu na tueshimu mipaka na mamlaka yake. Na tuwe na adabu hasa kweny mambo ya afya, uzima na kifo.
 
Mapepo ya Gwajima, Mapepo ya Mwingira. Poleni wahanga, r.i.p mchungaji.
Ila najua Dr Magufuli hawamuwezi! Maana ulinzi alionao ni wa yule Mungu mkuu na ndiye anayetakiwa kuwa rais wa taifa. Hakuna cha mapepo ya hao wachungaji wala nini, lazima awe rais na awashikishe adabu, maana kama mwingira ni mnafiki anajifanya ndumila kuwili kumpalilia mlutheri mwenzake na fisadi mwenzake wa ardhi, na lazima ardhi anyang'anywe!

Chunga kauli zako maana huwezi kuzithibitisha!
 
r.I.p wale wote waliokuwa wanamsema lowassa kwa mabaya kuwa ni mgonjwa wao ndo wanatangulia. liwe fundisho kwa wengine
. kutangulia kufa kwa mtu haibadilishi mantiki kwamba lowass sio mgonjwa.....huyu bwana ni mgonjwa na ambaye hakuwa mgonjwa kafariki kwa ajali.sasa uhusino wa mgonjwa na ajali huko wapi?.....mtu anashabikia mtikila kufa eti kisa alimtaja lowass na ugonjwa wake.....vipi sasa wewe unayeshangilia kifo na wewe unajiua kesho yako au kwakuwa lowass ni mgonjwa hajafa basi na nyie hamtakufa????....kila mtu ana siku yake ya kufa na hili haimanishi unaumwa ama u-mzima.RIP mtikila umetangulia umetuachia wachungaji feki kama Kibwetele na Msingwa.
 
Mtikila hakuwa mgombea urais. Unaishi Tanzania ya wapi wewe? Au upo Tanzania ya Magufuli?
 
Naendelea kuamini ya kwamba "Mzima wa leo ndio mgonjwa ama marehemu wa kesho na mgonjwa wa leo ndio mzima wa kesho"..Uzima,ugonjwa na kifo ni mipango ya MUNGU,kumkejeli binadamu mwenzio kwa ugonjwa wake ama kifo chake ni kejeli kwa MUUMBA.
 
Nilivyoona suspenders nimeamini.Duuuuh Nyanya lakini zimesalimika naona zimemwagika hazija pondeka.

hizo nyanya wananchi walivyo wakatili itakuwa walizibeba kwenda kuungia mboga
 
Nadhan alikuwa hajafunga mkanda maana gari haijaharibika kivile.
 
kwangu atabaki SHUJAA ...ni habari mbaya sana.. ameweza kutenda mengi sana wanasiasa na wanaharakati wengi wameshindwa....ameshape sheria nyingi nchi.. ila bado kuna watu wanadharau nafasi yake kwa upofu wa hichi kinachoitwa mabadiliko... pumzika kwa amani Rev.Mtikila... tutakumbuka... kwa mchango wako..
 
. kutangulia kufa kwa mtu haibadilishi mantiki kwamba lowass sio mgonjwa.....huyu bwana ni mgonjwa na ambaye hakuwa mgonjwa kafariki kwa ajali.sasa uhusino wa mgonjwa na ajali huko wapi?.....mtu anashabikia mtikila kufa eti kisa alimtaja lowass na ugonjwa wake.....vipi sasa wewe unayeshangilia kifo na wewe unajiua kesho yako au kwakuwa lowass ni mgonjwa hajafa basi na nyie hamtakufa????....kila mtu ana siku yake ya kufa na hili haimanishi unaumwa ama u-mzima.RIP mtikila umetangulia umetuachia wachungaji feki kama Kibwetele na Msingwa.

hivyo umekubali so ugonjwa pekee unaoweza kutoa uhai wa MTU so tusmbeze MTU kuwa ni mgonjwa kumbe hata wewe unaweza kufariki kwa kupigwa na radi au kugongwa na canter
 
pole sana kwa wafiwa, Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi, Bwana ametoa Bwana ametwaa, jina lake linimidiwe.

NB:
Kifo cha mch. mtikila ni ujumbe mzito kwa akina NAPE, MWIGULU, LUSINDE, MAKONGORO NYERERE, BULEMBO, MSUKUMA na wengine mnaojiona mna mandate ya kukadiria uhai wa mtu wakati hiyo ni kazi ya Mungu na ni SIRI yake peke yake. Kumbuka marehemu Celina Kombani pia alikashifu afya ya Lowassa alipohamia CDM. akisema bora amehama angetufia bure acha akifie huko chadema…kama mna akili na utashi ACHENI KUKASHIFU UHAI WA WATU fanyeni kampeni za kukinadi chama chetu

naona mnakomalia kuhesabu maovu ya wafu wakat mnajua wale walishamaliza kaz yao hapa dunian..

Bwana Yesu alisemwa kila aina ya baya, alitukanwa, alitemewa mate mpaka siku yupo msalaban alidhihakiwa lakn hakusema neno zaidi ya kusema Mungu wasamehe hawajui watendalo,, hivi huyu lowasa ni nan hasa? Kila anayempnga anakufa kwann yeye asikosolewe? Kwan yeye katenda mangapi mema na mabaya hapa dunian?

Akina mwakyembe baada ya kumtaja tu kwenye riport ya richmound ni nn kiliwapata?

Lakn tutambue kuwa kila nafsi itaonja mauti na siku ya mwisho utahesabiwa hesabu zako.

Ee Mungu tusamehe
 
Back
Top Bottom