Mzalendojr
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 174
- 46
If its true!
ITS OK!
NATAMANI NA ""WANAFIKI""WAMFUATE!!!
sheria zipo ndio maana serikali na vyombo vyake vipo. mfano polisi, mahakama, jela nk. taifa Lina watu wa aina zote. wapole, wastaarabu, waadilfu, wachaMungu kama vile wapo pia walevi, wezi,Wakorofi, waongo. wachawi, vibaka, nk Hakuna nchi ya wasafi pekee. kusema mtu hawezi tukanwa, kudhihakiwa, kukashifiwa atafute nchi ya kufikirika au labda aende mbinguni. kwa hapa duniani watatukanwa saaaana tu. na bado