Kwahiyo hoja ni kumshambulia Mbowe?Bila shaka umenielewa vizuri Mkuu, kule alikuwa anakosa hoja Kwa kuwa alikuwa anajicontradict mwenyewe,Kwa Sasa amesikiliza sauti ya ndani kutoko moyoni mwake na kuutambua ukweli,asikilizwe Sasa.
2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa nakupe idadi kwa uchaguzi gani kwa mfano?Mna wabunge wangapi ukilinganisha na 2015-2020?
I know you are stranded and in bound there in Mbowe's captivity...Kwahiyo hoja ni kumshambulia Mbowe?
Not mbowe kama mbowe,but mbowe kama Mwenyekiti...it's not personal Mkuu.Kwahiyo hoja ni kumshambulia Mbowe?
Kumbe Slaa karudi CCM?Jamaa uliichukia sana chadema kwa sababu ya Padre Silaa. Sasa hivi nadhani baada ya Silaa kurudi CCM, umepunguza chuki….siasa zako ni za kidini mnooooooo.
Kama mtaendelea na mentality kama hiyo basi kuwakomboa makamanda itakuwa ni vigumu sana.Msigwa tapeli tu Hilo la kisiasa linatafuta udc kwa mgongo wa mbowe na cdm. Na chama chama changu CCM ntawashangaa kumpa cheo huyo tapeli.
Wangekuwa hawana ujumbbe mngehangaika na kuwateka na kuwaua?Friends and Enemies,
Akiongea katika mahojiano yake na Salim Kikeke kupitia kipindi Cha kasri la Kikeke kinachorushwa na Crown Tv.
Mchungaji MSIGWA amesikika akizungumza Kwa hisia Kali kuwa kitu kingine kilichomuondoa CHADEMA ni Kwa chama Hiko kukosa muelekeo na dira.
Kwa Mfano anasema,mbowe amekuwa anatuandamanisha zaidi ya kilometer 20. Cha ajabu tukifika mwisho wa maandamano tumekusanyika kumsikiliza Hana message.
Anaishia tuh kusema eti kunja ngumiii, kunja ngumi for god's sake tukunje ngumi ili iweje?
MSIGWA ana UJUMBE, makamanda msikilizeni Kwa umakini mjifanyie tathmin before it's too late, CHADEMA untill when will you keep on running and running and running away?just know that you can't run away from your self,you can't run away from the truth.
Soma Pia: Mchungaji Msigwa: Wanaosema msitoke CHADEMA kwakuwa kuna future ni uongo mtupu, wao wenyewe hawana hiyo future
Because in the modern politics everyone thinks that his burden is the heaviest, but MSIGWA was not the burden to you CHADEMA.
Sasa kama mlikuwa na wabunge 89 na sasa mko na Mbunye 01 ina maana mnashuka(kufa kisiasa). Kwamba mnafikiri kuna siku CCM itawapa tu Chenye mnataka kwenye sahani? Mliporwq uchaguzi, mlifanya nini?2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa nakupe idadi kwa uchaguzi gani kwa mfano?
Umehama chama una miezi kibao badala ya kuuza sera za ulikohamia, unabaki kuleta nogwa. Toka lini nogwa ikawa hoja?Not mbowe kama mbowe,but mbowe kama Mwenyekiti...it's not personal Mkuu.
Wabunge 89 hatukupata kwa hisani. Hatuhitaji hisani ya ccm, lakini hatuko tayari kuendelea kushiriki chaguzi za kipuuzi tena. Tumeporwa uchaguzi tunataka mazingira sahihi ya ushindani. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi yatarejesha heshima ya box la kura, sio kwenda kupotezeana muda tena kwenye mstari wa kura.Sasa kama mlikuwa na wabunge 89 na sasa mko na Mbunye 01 ina maana mnashuka(kufa kisiasa). Kwamba mnafikiri kuna siku CCM itawapa tu Chenye mnataka kwenye sahani? Mliporwq uchaguzi, mlifanya nini?
CHADEMA Wana sera Gani mbadala au Bora Zaid kuliko CCM kias Cha kuwaamini uwape Dola waongoze?Wabunge 89 hatukupata kwa hisani. Hatuhitaji hisani ya ccm, lakini hatuko tayari kuendelea kushiriki chaguzi za kipuuzi tena. Tumeporwa uchaguzi tunataka mazingira sahihi ya ushindani. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi yatarejesha heshima ya box la kura, sio kwenda kupotezeana muda tena kwenye mstari wa kura.
Ili kuwazindua wengine ambao Bado mpo kwenye Mbowe's captivity ni lazima awaeleze why alihama huko,na Yale ambayo aliwaaminisha kipindi yuko kule awaeleze kuwa hayakuwa ya kweli.Umehama chama una miezi kibao badala ya kuuza sera za ulikohamia, unabaki kuleta nogwa. Toka lini nogwa ikawa hoja?
Nani anawaua na kuwateka?Wangekuwa hawana ujumbbe mngehangaika na kuwateka na kuwaua?
CHADEMA ndiyo imeleta umaskini wa watanzania?Friends and Enemies,
Akiongea katika mahojiano yake na Salim Kikeke kupitia kipindi Cha kasri la Kikeke kinachorushwa na Crown Tv.
Mchungaji MSIGWA amesikika akizungumza Kwa hisia Kali kuwa kitu kingine kilichomuondoa CHADEMA ni Kwa chama Hiko kukosa muelekeo na dira.
Kwa Mfano anasema,mbowe amekuwa anatuandamanisha zaidi ya kilometer 20. Cha ajabu tukifika mwisho wa maandamano tumekusanyika kumsikiliza Hana message.
Anaishia tuh kusema eti kunja ngumiii, kunja ngumi for god's sake tukunje ngumi ili iweje?
MSIGWA ana UJUMBE, makamanda msikilizeni Kwa umakini mjifanyie tathmin before it's too late, CHADEMA untill when will you keep on running and running and running away?just know that you can't run away from your self,you can't run away from the truth.
Soma Pia: Mchungaji Msigwa: Wanaosema msitoke CHADEMA kwakuwa kuna future ni uongo mtupu, wao wenyewe hawana hiyo future
Because in the modern politics everyone thinks that his burden is the heaviest, but MSIGWA was not the burden to you CHADEMA.
Bila shaka,hata yeye hoja yake kaweka wazi kuwa CHADEMA kama. Chama kinaangamia Kwa kukosa maarifa mapya,na kwamba Mwenyekiti amehodhi chama na kukiweka mfukoni.
Wewe aliekuambia watanzania ni maskini nani?CHADEMA ndiyo imeleta umaskini wa watanzania?
Wewe aliekuambia watanzania ni maskini nani?CHADEMA ndiyo imeleta umaskini wa watanzania?
Kwa taarifa yako, hakuna chama kitashindwa kuongoza nchi hii, maana hata ccm haiko madarakani kwa sera, bali kwa business as usual.CHADEMA Wana sera Gani mbadala au Bora Zaid kuliko CCM kias Cha kuwaamini uwape Dola waongoze?