Pre GE2025 Mch Msigwa: Mbowe na CHADEMA hawana tena ujumbe kwa Watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema ni bland ikikupiga chini unapoteana mazima ,Msigwa kwa sasa kila anaposhika hapashikiki
 
Wakikuletea list of shame? Tusikimbiane tu
 
Mangi angejibu hoja kwanza Mkuu

Nia yake ni kufia madarakani?

Sasa hiyo Demokrasia na maendeleo anayoihubiri ni ipi?...
 
Chadema ni bland ikikupiga chini unapoteana mazima ,Msigwa kwa sasa kila anaposhika hapashikiki
COVID 19 waliwapiga chini kwani wamepoteana?

SI wale Bado wanadunda na Ruzuku wao wenyewe CHADEMA wanachukua Kwa mgongo wao.
 
Chadema ni bland ikikupiga chini unapoteana mazima ,Msigwa kwa sasa kila anaposhika hapashikiki
COVID 19 waliwapiga chini kwani wamepoteana?

SI wale Bado wanadunda na Ruzuku wao wenyewe CHADEMA wanachukua Kwa mgongo wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…