Freddy81
Member
- Feb 3, 2009
- 99
- 3
Jamaa mmoja mwanaume alitumiwa sms na demu wake, Tatizo la ile sms ilkuwa ndefu sana,
sasa ilpoingia kwenye simu yake haikuweza kufunguka yote, baahi ya maneno hayakuonekana, kulikuwa na maneno haya mwisho wa hiyo sms
"some text missing"
Unajua jamaa alijibu vipi hiyo msg, arrooo Na mimi nimekumis kweli mpenzi!
sasa ilpoingia kwenye simu yake haikuweza kufunguka yote, baahi ya maneno hayakuonekana, kulikuwa na maneno haya mwisho wa hiyo sms
"some text missing"
Unajua jamaa alijibu vipi hiyo msg, arrooo Na mimi nimekumis kweli mpenzi!