Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Kati ya Mangi na mkinga yupo ni hatari zaidi kwenye issue ya business, highest IQ, risk management n.k?
Wadau 🫴🏻🫴🏻🫴🏻uwanja ni wenu
Wadau 🫴🏻🫴🏻🫴🏻uwanja ni wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wako vizuri sana,mizinga anaonekana Yuko juu sababu kuu ni mbahiri,hana Cha birthday party, graduation wakati mchaga ni kinyume chake!Kati ya Mangi na mkinga yupo ni hatari zaidi kwenye issue ya business, highest IQ, risk management n.k?
Wadau 🫴🏻🫴🏻🫴🏻uwanja ni wenu
😂😂😂 Inamaana wakinga wapo vizuri kwenye issue za kupulizaYaani mtu anayetumia akili unamlinganisha na anayetumia uchawi? Hiyo ni fair comparison kweli?
Kwa mtazamo wakoIzo sio issue ya kabila bali mtu binafsi
Mchina huyu hana mpinzani.
WAchina 10 tu wakimwagwa hapo kariakoo utasikia vilio kama mashabiki wa yanga
IQ yako ndogo 🚮🚮🚮Swali la kipumbavu.
Hapana ni kama tunavyo wataja wamasai kwenye ufugaji au wa Iraqw kwenye urembo Sasa wachaga na wakinga wapo good at businessUshaanza mambo ya ukabila..
Hao ni hatari kwa utajiri wa mauza uza.😂😂😂 Inamaana wakinga wapo vizuri kwenye issue za kupuliza
wachina 10 ongeza na wahindi 10 sisi tutabaki kuwa mawinga tuMchina huyu hana mpinzani.
WAchina 10 tu wakimwagwa hapo kariakoo utasikia vilio kama mashabiki wa yanga
Aise utajiri wao ni wa chapchapHao ni hatari kwa utajiri wa mauza uza.
Upumbavu kweli huu ! Ukabila,,, ! Focus na mambo yako na kipato chako,,, ! Utajiri wa mkinga, mchaga , msukuma hautakunufaisha au kukuletea kibaba cha unga ule na familia yako. ,,, shit
Una nzi kichwaniAnother low IQ 🚮🚮🚮 maskini