Mchakato ujenzi barabara ya juu Jangwani waanza

Mchakato ujenzi barabara ya juu Jangwani waanza

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
kUNENGE.JPG

Meneja wa Wakala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ngusa Julius, alibainisha kuanza kwa mradi jana alipozungumza na Nipashe kuhusu suluhisho la adha inayoendelea kuwatesa watumiaji wa barabara hiyo hasa mvua inaponyesha kwa wingi na kusababisha Mto Msimbazi kukata mawasiliano ya barabara.

“Kuna mkandarasi amekuwa akifukua mchanga na tope pale ili kutoa nafasi maji yaweze kupita, bado hakuna mafanikio, kilichopo sasa ni kusubiri upembuzi wa mradi huo ukamilike kisha hatua nyingine zifuate kwa ajili ya utekelezaji," alisema.

Katika eneo hilo, maji ya mvua kutoka maeneo mbalimbali ya jiji hilo la kibiashara, yamekuwa yakifurika hivyo kuwaweka hatarini watumiaji wa barabara hiyo na mara nyingi Jeshi la Polisi limekuwa likiifunga barabara hiyo katika kipande cha Jangwani.
Hatua hiyo ya Jeshi la Polisi inasababisha usumbufu na gharama kubwa za usafiri.

Richard Abel, mkazi wa Kibamba jijini, alisema hulazimika kuunganisha magari matatu kwa safari moja ili kufika Posta anakofanya kazi.

“Serikali ione jinsi ambavyo inaweza kuhakikisha mpango huo unaanza na kukamilika mapema, hii kero ni kubwa, mbali na kutusababishia gharama, pia inasababisha tutumie muda mwingi kufika mjini na hata kurejea kwenye makazi yetu,” alisema.

Juzi, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana, alisikika akizungumzia suala hilo wakati akizungumza na moja ya vituo vya redio jijini, kwamba mpango huo ulitarajiwa kuanza mwaka huu ukihusisha Jiji, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Benki ya Dunia (WB), lakini kuibuka kwa virusi vya corona kulisababisha kusimama kwa muda kwa utekelezaji wake.

Mkurugenzi huyo alibainisha kuwa mpango huo ukikamilika, mbali na kuondoa adha kwa watumiaji, pia utabadili taswira katika eneo la Jangwani kwa kuwa litakuwa la kuvutia kwa ajili ya mapumziko, michezo na makazi ya watu.

Chanzo: Nipashe
 
Yule mkandarasi aliyekua anatoa mchanga maji yapite sijui alisoma wapi. Level ya jangwani sasa hivi imepanda hata wale wachache waliokaidi kuhama nyumba zao zimejaa mchanga kwa zaidi ya mita moja. Hata Ile yard ya mwendokasi haitatumika Tena maana imejaa udongo Hadi madirishani
 
Yule mkandarasi aliyekua anatoa mchanga maji yapite sijui alisoma wapi. Level ya jangwani sasa hivi imepanda hata wale wachache waliokaidi kuhama nyumba zao zimejaa mchanga kwa zaidi ya mita moja. Hata Ile yard ya mwendokasi haitatumika Tena maana imejaa udongo Hadi madirishani
Kuwa na subira, yajayo yanafurahisha.
 
Ramani ya 1890s inaonesha Dar ilikuwa ni lowland yenye maziwa (seas) kadhaa ikiwemo Jangwani sea. Nyumba na miuondombinu imejengwa juu ya maziwa. Sasa nature inarudi enzi yake. Tujiandae kujenga flyovers kila mahali Dar.
 
Ramani ya 1890s inaonesha Dar ilikuwa ni lowland yenye maziwa (seas) kadhaa ikiwemo Jangwani sea. Nyumba na miuondombinu imejengwa juu ya maziwa. Sasa nature inarudi enzi yake. Tujiandae kujenga flyovers kila mahali Dar.
Na lile bonde, kuanzia matanki ya BP mpaka Keko Bora, wajiandae
 
Ramani ya 1890s inaonesha Dar ilikuwa ni lowland yenye maziwa (seas) kadhaa ikiwemo Jangwani sea. Nyumba na miuondombinu imejengwa juu ya maziwa. Sasa nature inarudi enzi yake. Tujiandae kujenga flyovers kila mahali Dar.
Hatari Sana
 

Meneja wa Wakala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ngusa Julius, alibainisha kuanza kwa mradi jana alipozungumza na Nipashe kuhusu suluhisho la adha inayoendelea kuwatesa watumiaji wa barabara hiyo hasa mvua inaponyesha kwa wingi na kusababisha Mto Msimbazi kukata mawasiliano ya barabara.

“Kuna mkandarasi amekuwa akifukua mchanga na tope pale ili kutoa nafasi maji yaweze kupita, bado hakuna mafanikio, kilichopo sasa ni kusubiri upembuzi wa mradi huo ukamilike kisha hatua nyingine zifuate kwa ajili ya utekelezaji," alisema.

Katika eneo hilo, maji ya mvua kutoka maeneo mbalimbali ya jiji hilo la kibiashara, yamekuwa yakifurika hivyo kuwaweka hatarini watumiaji wa barabara hiyo na mara nyingi Jeshi la Polisi limekuwa likiifunga barabara hiyo katika kipande cha Jangwani.
Hatua hiyo ya Jeshi la Polisi inasababisha usumbufu na gharama kubwa za usafiri.

Richard Abel, mkazi wa Kibamba jijini, alisema hulazimika kuunganisha magari matatu kwa safari moja ili kufika Posta anakofanya kazi.

“Serikali ione jinsi ambavyo inaweza kuhakikisha mpango huo unaanza na kukamilika mapema, hii kero ni kubwa, mbali na kutusababishia gharama, pia inasababisha tutumie muda mwingi kufika mjini na hata kurejea kwenye makazi yetu,” alisema.

Juzi, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana, alisikika akizungumzia suala hilo wakati akizungumza na moja ya vituo vya redio jijini, kwamba mpango huo ulitarajiwa kuanza mwaka huu ukihusisha Jiji, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Benki ya Dunia (WB), lakini kuibuka kwa virusi vya corona kulisababisha kusimama kwa muda kwa utekelezaji wake.

Mkurugenzi huyo alibainisha kuwa mpango huo ukikamilika, mbali na kuondoa adha kwa watumiaji, pia utabadili taswira katika eneo la Jangwani kwa kuwa litakuwa la kuvutia kwa ajili ya mapumziko, michezo na makazi ya watu.

Chanzo: Nipashe
Benki ya Dunia ni mabeberu, na CCM Ni mbuzi jike
 
Ramani ya 1890s inaonesha Dar ilikuwa ni lowland yenye maziwa (seas) kadhaa ikiwemo Jangwani sea. Nyumba na miuondombinu imejengwa juu ya maziwa. Sasa nature inarudi enzi yake. Tujiandae kujenga flyovers kila mahali Dar.
Weka hiyo ramani tuione
 
Flyover za magari watajenga sawa kisha wajenge flyover za majumba maeneo ya jangwani ndo watu waendelee kuishi
Ramani ya 1890s inaonesha Dar ilikuwa ni lowland yenye maziwa (seas) kadhaa ikiwemo Jangwani sea. Nyumba na miuondombinu imejengwa juu ya maziwa. Sasa nature inarudi enzi yake. Tujiandae kujenga flyovers kila mahali Dar.
 

Meneja wa Wakala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ngusa Julius, alibainisha kuanza kwa mradi jana alipozungumza na Nipashe kuhusu suluhisho la adha inayoendelea kuwatesa watumiaji wa barabara hiyo hasa mvua inaponyesha kwa wingi na kusababisha Mto Msimbazi kukata mawasiliano ya barabara.

“Kuna mkandarasi amekuwa akifukua mchanga na tope pale ili kutoa nafasi maji yaweze kupita, bado hakuna mafanikio, kilichopo sasa ni kusubiri upembuzi wa mradi huo ukamilike kisha hatua nyingine zifuate kwa ajili ya utekelezaji," alisema.

Katika eneo hilo, maji ya mvua kutoka maeneo mbalimbali ya jiji hilo la kibiashara, yamekuwa yakifurika hivyo kuwaweka hatarini watumiaji wa barabara hiyo na mara nyingi Jeshi la Polisi limekuwa likiifunga barabara hiyo katika kipande cha Jangwani.
Hatua hiyo ya Jeshi la Polisi inasababisha usumbufu na gharama kubwa za usafiri.

Richard Abel, mkazi wa Kibamba jijini, alisema hulazimika kuunganisha magari matatu kwa safari moja ili kufika Posta anakofanya kazi.

“Serikali ione jinsi ambavyo inaweza kuhakikisha mpango huo unaanza na kukamilika mapema, hii kero ni kubwa, mbali na kutusababishia gharama, pia inasababisha tutumie muda mwingi kufika mjini na hata kurejea kwenye makazi yetu,” alisema.

Juzi, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana, alisikika akizungumzia suala hilo wakati akizungumza na moja ya vituo vya redio jijini, kwamba mpango huo ulitarajiwa kuanza mwaka huu ukihusisha Jiji, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Benki ya Dunia (WB), lakini kuibuka kwa virusi vya corona kulisababisha kusimama kwa muda kwa utekelezaji wake.

Mkurugenzi huyo alibainisha kuwa mpango huo ukikamilika, mbali na kuondoa adha kwa watumiaji, pia utabadili taswira katika eneo la Jangwani kwa kuwa litakuwa la kuvutia kwa ajili ya mapumziko, michezo na makazi ya watu.

Chanzo: Nipashe
HAKUNA SABABU YA UJENZI HAPO TUULIZWE WANA DAR ES SALAAM PESA ZOTE PELEKENI KWENYE MIRADI AMBAYO INAENDELEA PANUENI NJIA YA MAJI VUNJENI HARAKATI ZILIZOJENGWA JANGWANI IKIWEMO BARABARA PANDENI MIKOKO YA ASILI HAPO
 
Ramani ya 1890s inaonesha Dar ilikuwa ni lowland yenye maziwa (seas) kadhaa ikiwemo Jangwani sea. Nyumba na miuondombinu imejengwa juu ya maziwa. Sasa nature inarudi enzi yake. Tujiandae kujenga flyovers kila mahali Dar.
Itakua raha sana, tutatembea juu juu hadi raha
 
Back
Top Bottom