Tetesi: Mchakato UVCCM; Mgombea Uenyekiti Mwesiga, Kangoye wakamatwa na TAKUKURU Mbeya, TAKUKURU wamgomea January Makamba

Tetesi: Mchakato UVCCM; Mgombea Uenyekiti Mwesiga, Kangoye wakamatwa na TAKUKURU Mbeya, TAKUKURU wamgomea January Makamba

Wameiga kwa baba zao!!!
Hizi siku mbili tatu nilipokuwa Dsm,mpaka nilikikimbia kijiwe chetu cha "Rissi" kwenye juice ya tende na sekela,maana wanajaaa vijana wa UVCCM huku wanapeana tu rushwa na kuongelea namna ya kula hela za uchaguzi...mtaa wa Lumumba(New Street wakati huo) sio tena alama ya ukombozi wa Taifa na Afrika,ni kichaka cha majizi na maroho ya madaraka
 
Unashangaa rushwa CCM.......hiyo ni sawa na uji na mgonjwa
 
Mwenyekiti wenu ndiyo kinara wa rushwa za pesa na vyeo.

CCM na rushwa ni sawa na mgonjywa na uji.
Mbowe alimuuzia Chama mamvi kwa sh ngapi?
Mnyika alikula Ngapi?

lissu alipata mgao gani?

Sometimes laana zinawapata kwa kuwa mlikula fedha za mzee wa watu kwa kumdanganya kuwa atashinda.
 
Back
Top Bottom