Tetesi: Mchakato UVCCM; Mgombea Uenyekiti Mwesiga, Kangoye wakamatwa na TAKUKURU Mbeya, TAKUKURU wamgomea January Makamba

Tetesi: Mchakato UVCCM; Mgombea Uenyekiti Mwesiga, Kangoye wakamatwa na TAKUKURU Mbeya, TAKUKURU wamgomea January Makamba

Baba anahonga watoto watashindwaje
Baba anachukia rushwa wala hapendi kuisikia rushwa maishani mwake,rohoni kwake anapenda rushwa kuliko awamu zote za ccm yani ananunua madiwani,wabunge kwa budget ya serikali
 
Baba la ufisadi na mwalimu mkuu wa ufisadi yuko Chadema
014553bd61a29521ac01a1daab9d294b.jpg
 
kamwe CCM hawawezi kuacha Rushwa kwa sababu hiyo ndiyo huwasaidia siku zote kuwa jukwaani kwenye maonyesho
 
Taratibu Albadiri zinafanya Kazi. Wengine waita dua ya Kuku haimpati Mwewe
 
Mtoa taarifa umetoa taarifa yako kishamba na wew huna mamlaka ya kuzungumzia taarifa iliyopo ktk taasisi Fulani bila kibali nyie ndio mkikamatwa ili mtoe ushahid mnaanza kuhaha kutafuta Huduma ya wadau kifupi taarifa yako ni umbea kama umbea mwingine na tutakupuuza
Mtampuuza Lumumba!
 
Ni vigumu sana kwa ccm kushinda nafasi yyte ndani ya chama bila kutoa rushwa. Narudia tena kusema ni vigumu sana kushinda uchaguzi ndani ya ccm bila kutoa rushwa.

Ikishindina kabisa kushinda kwa RUSHWA WANAIBA KURA kama 2015!
 
January Makamba anaingiaje humo? Au anataka kupandikiza ''watu wake'' ili waanze michakato yao ya kumpromote kama mtu anayekubalika sana ndani ya Chama kwa malengo ya uRais?
 
Sasa bora yupi, yule anaetuhumiwa kudanganya umri au huyu anaegawa rushwa?
Tafakari
 
Back
Top Bottom