Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

According to Nyerere...
According to Newton's...
According to Lenin....
According to Lincoln....
Mbona hawa ni mifano ya philosophers na tunajua waliamini Nini?
Hayo maswali ni level gani ya cognitive domain?

Je yana lengo la kupima nini? Au nikurudishe shule ndugu engineer?
 
Hayo maswali ni level gani ya cognitive domain?

Je yana lengo la kupima nini? Au nikurudishe shule ndugu engineer?
Yanapima uelewa
Kwaiyo wewe shule hukujifunza
Newton's law of motion
Archimedes principle
Nyerere socialism
Au hujui haya ni mawazo ya watu na inatakiwa uyajue, tuone uelewa wako
 
Yanapima uelewa
Kwaiyo wewe shule hukujifunza
Newton's law of motion
Archimedes principle
Nyerere socialism
Au hujui haya ni mawazo ya watu na inatakiwa uyajue, tuone uelewa wako
Unajua theory yoyote ya evaluation and assessment?

Kiufupi hapo unatumia uelewa wa kichwa butu na sio kilichoenda shule

Ndio shida ya kuweka watunga sera weupe kichwani matokeo ni kama haya sasa wewe ukute ukifanya iyo pepa utapita kwa janja janja ukija huku wajifanya kutoa ushuhuda wa umbumbu wako rudi shule siwezi kuhojiana na mtu mweupe kichwani kagoogle urudi na ABC
 
Saili zanatakiwa kua fair mtu ashindwe mwenyewe sio kuvujisha pepa na in irregularities kibao ZINAZO lalamikiwa na wadau
Upo sahihi mkuu watu hatulalamikii kuwepo kwa usaili ila at least uwe fair and inclusive ila wengi humu wanaleta ukongwe uchwara
 
Wapuuzi tu hao mkuu
Watakaofaulu hizo interview ni wale graduate wa miaka miwili au mitatu iliopita.
Tafuta tu ela mkuu, ajira miyeyusho
Wanatesa watanzania wenzao Bure kabisa
 
Unajua theory yoyote ya evaluation and assessment?

Kiufupi hapo unatumia uelewa wa kichwa butu na sio kilichoenda shule

Ndio shida ya kuweka watunga sera weupe kichwani matokeo ni kama haya sasa wewe ukute ukifanya iyo pepa utapita kwa janja janja ukija huku wajifanya kutoa ushuhuda wa umbumbu wako rudi shule siwezi kuhojiana na mtu mweupe kichwani kagoogle urudi na ABC
Njoo tulime acha uvivu
 
Mchakato umejaa manyanyaso Kwa vijana wasio na ajira Wala kipato kinachoeleweka kuanzia kwenye utumaji maombi ya kazi. Vijana walitakiwa kucertify vyeti vyao Kwa mwanasheria/wakili/hakimu yeyote yule, hii ilihitaji pesa kama Hauna basi umekula kwako.

Kwenye interview napo pamejaa mambo ya hovyo hovyo mfano badala ya kufuata Sheria ya utumishi ya 50% wao wana lala na kuamka na pass mark Yao.

Wenye nafasi(viongozi wa psrs na wizara Kwa ujumla wameamua kuwatafutia nafuu ndg zao ya kupata kazi Kwa upendeleo bila kuhojiwa na yeyote. Mfano kama walikuwa na Nia njema Kwa wahitimu waliokaa muda mrefu mfano miaka 10,09, n.k hapakuwa na ulazima wa kuchukua maombi kuanzia 2015 Hadi 2023 badala yake wangechukua kuanzia 2015 Hadi 2018 ili kuwashindanisha waliokaa muda mrefu na kuondoa bias.

Baadhi ya walimu wamepewa oral interview pekee na wengine written na oral interview. Walitakiwa wawafanyie waombaji wote usaili unaofanana Kwa wote. Kwa Nini wengine wahojiwe na wengine wafanye mtihani??

Acheni kutesa watanzania wenzenu kisa tu mna nafasi serikalini au katika kufanya maamuzi maana mnawaumiza sana watanzania wenzenu.
Mungu atawalaani machozi ya Hawa ndugu zetu yatawalilia daima
 
Ajira za serikali sio haki yako na kama unaamini umepokwa haki yako nenda mahakamani, hapa jamii forums hutapata msaada,
Kwanini hizo ajira msizisusie tu, maslahi kiduchu laki 5 mwezi nzima ndo unalia hivi.
Zingekuwa kazi za TRA, Uhamiaji vip
Kazi zenye hela
Ualimu utapata pesa ndogo ambayo hutakaa ule pisi kali, unywe bia, uendeshe gari
Sasa hiyo kazi Gani
Ipongeze serikali inawaepusha na umasikini wa kudumu
Mtaa una kila kitu babu
Kwanini wasile pisi kali?
Hata ukiajiriwa haina maana umetengwa na mtaa
 
Nilikataa kulima nikatimkia town nibora niwe machinga kuliko niwe mkulima sekta ya kilimo ni zaidi ya utumwa
Huna unalolijua kuhusu kilimo
Kwa akili hizi hebu pambania interview ya ualimu ukafundishe vishazi ulipwe laki 5 Kwa mwezi
 
Mtihani wa geogaraphy haukuwa na title ya geography hii imekaaje kwa upande wako
Mwalimu unatakiwa kuwa na

1. Subject content knowledge (knowledge ya somo/masomo unayofundisha)
2. Pedagogical content knowledge (Teaching methods, psychology of teaching and learning, curriculum)

Mtihani unaweza kulala popote kati ya hizi sehemu mbili sio lazima uletewe maswali ya subject content knowledge (e.g. Geography)
 
Back
Top Bottom