Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

Saili za utumishi wewe huzijui kwa sababu yamkini wewe ni mwalimu au ni mgeni kabisa! Lakini utumishi toka ianzishwe imewafanya vijana wengi kuajirika sehemu ambazo zililikuwa hazifkiki kwa watoto masikini! Kwa hiyo hoja zako hazina mashiko kabisa! Maana wasio na ajira muda mrefu sio walimu peke yake kumekuwepo na kada zingine hawajaajiriwa toka miaka ya nyuma na wapo wengi sana! Umewahi kuona utumishi wanatangaza kazi kwa kulimit miaka ya kumaliza chuo????kwa uzoefu wangu waliomaliza miaka ya nyuma ndio wengi wanapata kazi utumishi sio kwa sababu ya upendeleo ila ni kwa sababu wana uzoefu na kazi hivyo maswali mengi wanayafaulu kwa sababu maswali yanaulizwa ya kada husika!

Kwa hiyo hoja yako kuwa wangekatia waliomaliza mwisho 2018 alafu wawashindanishe haina mashiko maana hata ukichukua wajinga 1000 ukawafanyia usaili lazima yupo atakayeongoza tu! Mimi nilidhani mtu aliyemaliza miaka ya nyuma ana chance kubwa ya kufaulu usaili kwa sababu ana uzoefu na kazi lakini pia hata kujieleza ni tofauti na mtu aliyemaliza mwaka jana!

Hoja yako kuwa wengine wanafanya usaili wa kuandika na wengine usaili wa mahojiano haina mqshiko, kwanza unaonekana wewe ni mbinafsi na una wivu sana, na inaonekana hujui lengo la mithani ya utumishi! Lengo la mithani ya utumishi ni kutafuta watu sahihi miongoñi mwa wengi!
Kazi ya usaili wa mchujo ni kuchuja watu wabaki wachache hivyo hata wakikatia 90% hawana lawama na hamna sheria inayowakataza kukatia hapo maana ni mchujo!
Kuna kada wanahitajika watu 5 wanaomba watu 10 wewe unahisi kuna haja ya kuwa na mthani wa mchujo au written?????? Lakini wanahitajika watu 5 wanaomba watu 1000 plus utawapataje sasa hao watano lazima utumie hizo njia zote! Mchujo, prct nk ili ubaki na wachache ili uhojiane nao! Hiyo application ipo pia kwenye topic za geography walimu mlitufundisha alafu nyie wenyewe hamtaki kufanyiwa!

Tuache malalamiko yasiyo na maana mtoto wako anaposoma mwambie asome kozi ambazo hazina ushindani mkubwa sokoni! Haiwezekani mwalimu kakomaa na madynamic na principle za newton unataka ulingane naye wewe uliyesoma mambo ya ngoswe na mìchomekeo kibao! Tuache utane

Jinsi unavyosoma kozi ngumu na yenye watu wachache hata kwenye usaili ipo hivyo hivyo! Kuna kada wasailiwa wanaitwa watano na wanahitajika 4 hadi raha sana!

Kozi yangu iliyonipa ajirà, walikuwa wanahitajika watu wawili na tulioitwa usaìli tulikuwa watano tuliofika siku ya usaili tulikuwa 4! Wakati pembeni unaona kada nyingine wanahitajika 2 walioitwa usaili 200+ wewe unafikiri kosa la nani hapo???

Tuwe wazalendo! Utumishi wapo fair 100%
Umemaliza Mkuu.
 
Unataka kusema nini mkuu, usimuite mpumbavu unamtia hasira
Sasa mkuu, ht mm hua nafeli kwenye usaili ila sio kupata 0 aisee, yn miaka yote uliyosoma unapataje 0 c bora ushindwe kuendelea na usaili ila una 50%+ unaonekana haikuwa bahati yako ila ukipata 0 bc huo n upumbavu
 
Saili za utumishi wewe huzijui kwa sababu yamkini wewe ni mwalimu au ni mgeni kabisa! Lakini utumishi toka ianzishwe imewafanya vijana wengi kuajirika sehemu ambazo zililikuwa hazifkiki kwa watoto masikini! Kwa hiyo hoja zako hazina mashiko kabisa! Maana wasio na ajira muda mrefu sio walimu peke yake kumekuwepo na kada zingine hawajaajiriwa toka miaka ya nyuma na wapo wengi sana! Umewahi kuona utumishi wanatangaza kazi kwa kulimit miaka ya kumaliza chuo????kwa uzoefu wangu waliomaliza miaka ya nyuma ndio wengi wanapata kazi utumishi sio kwa sababu ya upendeleo ila ni kwa sababu wana uzoefu na kazi hivyo maswali mengi wanayafaulu kwa sababu maswali yanaulizwa ya kada husika!

Kwa hiyo hoja yako kuwa wangekatia waliomaliza mwisho 2018 alafu wawashindanishe haina mashiko maana hata ukichukua wajinga 1000 ukawafanyia usaili lazima yupo atakayeongoza tu! Mimi nilidhani mtu aliyemaliza miaka ya nyuma ana chance kubwa ya kufaulu usaili kwa sababu ana uzoefu na kazi lakini pia hata kujieleza ni tofauti na mtu aliyemaliza mwaka jana!

Hoja yako kuwa wengine wanafanya usaili wa kuandika na wengine usaili wa mahojiano haina mqshiko, kwanza unaonekana wewe ni mbinafsi na una wivu sana, na inaonekana hujui lengo la mithani ya utumishi! Lengo la mithani ya utumishi ni kutafuta watu sahihi miongoñi mwa wengi!
Kazi ya usaili wa mchujo ni kuchuja watu wabaki wachache hivyo hata wakikatia 90% hawana lawama na hamna sheria inayowakataza kukatia hapo maana ni mchujo!
Kuna kada wanahitajika watu 5 wanaomba watu 10 wewe unahisi kuna haja ya kuwa na mthani wa mchujo au written?????? Lakini wanahitajika watu 5 wanaomba watu 1000 plus utawapataje sasa hao watano lazima utumie hizo njia zote! Mchujo, prct nk ili ubaki na wachache ili uhojiane nao! Hiyo application ipo pia kwenye topic za geography walimu mlitufundisha alafu nyie wenyewe hamtaki kufanyiwa!

Tuache malalamiko yasiyo na maana mtoto wako anaposoma mwambie asome kozi ambazo hazina ushindani mkubwa sokoni! Haiwezekani mwalimu kakomaa na madynamic na principle za newton unataka ulingane naye wewe uliyesoma mambo ya ngoswe na mìchomekeo kibao! Tuache utane

Jinsi unavyosoma kozi ngumu na yenye watu wachache hata kwenye usaili ipo hivyo hivyo! Kuna kada wasailiwa wanaitwa watano na wanahitajika 4 hadi raha sana!

Kozi yangu iliyonipa ajirà, walikuwa wanahitajika watu wawili na tulioitwa usaìli tulikuwa watano tuliofika siku ya usaili tulikuwa 4! Wakati pembeni unaona kada nyingine wanahitajika 2 walioitwa usaili 200+ wewe unafikiri kosa la nani hapo???

Tuwe wazalendo! Utumishi wapo fair 100%
Wapumbavu pekee ndio hawatokuelewa hapa.
🤝
 
Sasa kama ni swali la usaili si ushapata 0! Humu hamna lolote kazi kujifanya wakongwe wa usaili kichwani ni sifuri
Mkuu, tambua kuwa hakuna mtu anayejifanya mkongwe wa usaili humu ndani, tatizo lenu waalimu ndio mara yenu ya kwanza kufanya usaili hvy mmekutana na kitu kipya mnaona kama mnaonewa, hata sisi wa kada zingine tulipoenda usaili wa utumishi kwa mara ya kwanza tuliona kama tunaonewa kama mnavyoona nyie sasa hv, ila baada ya kujua jinsi walivyo na sisi tumebadilika na ndio sasa tunawapa ukweli wa jinsi utumishi walivyo ila sasa nyie kwakuwa mmeamua kukaza kichwa bc ht hamuelewi mnaona kama tunawakejeli.
 
Saili za utumishi wewe huzijui kwa sababu yamkini wewe ni mwalimu au ni mgeni kabisa! Lakini utumishi toka ianzishwe imewafanya vijana wengi kuajirika sehemu ambazo zililikuwa hazifkiki kwa watoto masikini! Kwa hiyo hoja zako hazina mashiko kabisa! Maana wasio na ajira muda mrefu sio walimu peke yake kumekuwepo na kada zingine hawajaajiriwa toka miaka ya nyuma na wapo wengi sana! Umewahi kuona utumishi wanatangaza kazi kwa kulimit miaka ya kumaliza chuo????kwa uzoefu wangu waliomaliza miaka ya nyuma ndio wengi wanapata kazi utumishi sio kwa sababu ya upendeleo ila ni kwa sababu wana uzoefu na kazi hivyo maswali mengi wanayafaulu kwa sababu maswali yanaulizwa ya kada husika!

Kwa hiyo hoja yako kuwa wangekatia waliomaliza mwisho 2018 alafu wawashindanishe haina mashiko maana hata ukichukua wajinga 1000 ukawafanyia usaili lazima yupo atakayeongoza tu! Mimi nilidhani mtu aliyemaliza miaka ya nyuma ana chance kubwa ya kufaulu usaili kwa sababu ana uzoefu na kazi lakini pia hata kujieleza ni tofauti na mtu aliyemaliza mwaka jana!

Hoja yako kuwa wengine wanafanya usaili wa kuandika na wengine usaili wa mahojiano haina mqshiko, kwanza unaonekana wewe ni mbinafsi na una wivu sana, na inaonekana hujui lengo la mithani ya utumishi! Lengo la mithani ya utumishi ni kutafuta watu sahihi miongoñi mwa wengi!
Kazi ya usaili wa mchujo ni kuchuja watu wabaki wachache hivyo hata wakikatia 90% hawana lawama na hamna sheria inayowakataza kukatia hapo maana ni mchujo!
Kuna kada wanahitajika watu 5 wanaomba watu 10 wewe unahisi kuna haja ya kuwa na mthani wa mchujo au written?????? Lakini wanahitajika watu 5 wanaomba watu 1000 plus utawapataje sasa hao watano lazima utumie hizo njia zote! Mchujo, prct nk ili ubaki na wachache ili uhojiane nao! Hiyo application ipo pia kwenye topic za geography walimu mlitufundisha alafu nyie wenyewe hamtaki kufanyiwa!

Tuache malalamiko yasiyo na maana mtoto wako anaposoma mwambie asome kozi ambazo hazina ushindani mkubwa sokoni! Haiwezekani mwalimu kakomaa na madynamic na principle za newton unataka ulingane naye wewe uliyesoma mambo ya ngoswe na mìchomekeo kibao! Tuache utane

Jinsi unavyosoma kozi ngumu na yenye watu wachache hata kwenye usaili ipo hivyo hivyo! Kuna kada wasailiwa wanaitwa watano na wanahitajika 4 hadi raha sana!

Kozi yangu iliyonipa ajirà, walikuwa wanahitajika watu wawili na tulioitwa usaìli tulikuwa watano tuliofika siku ya usaili tulikuwa 4! Wakati pembeni unaona kada nyingine wanahitajika 2 walioitwa usaili 200+ wewe unafikiri kosa la nani hapo???

Tuwe wazalendo! Utumishi wapo fair 100%
Umeeleza vyema kwamba psrs wameweza kurudisha tumaini kwa watoto wa hohehahe lakini sikubaliani na wewe kwamba kozi Fulani Zina maana au waliosoma hizo za wanaoitwa 200+ walipenda, na Wala ukiajiriwa sio kwamba umemaliza mitihani yote Chini ya jua. Chunga mawazo na mwandiko wako Kila kada Ina hitajika sana sana kwenye jamii.

Sema hizo mnazokuwa Wachache ziko kwenye kipaumbele na ufadhili mkubwa wa Dunia kutokana na ajenda za mifumo inayoitawala. Usikufuru kijana.

NB. Ukatubu.
 
Mkuu, tambua kuwa hakuna mtu anayejifanya mkongwe wa usaili humu ndani, tatizo lenu waalimu ndio mara yenu ya kwanza kufanya usaili hvy mmekutana na kitu kipya mnaona kama mnaonewa, hata sisi wa kada zingine tulipoenda usaili wa utumishi kwa mara ya kwanza tuliona kama tunaonewa kama mnavyoona nyie sasa hv, ila baada ya kujua jinsi walivyo na sisi tumebadilika na ndio sasa tunawapa ukweli wa jinsi utumishi walivyo ila sasa nyie kwakuwa mmeamua kukaza kichwa bc ht hamuelewi mnaona kama tunawakejeli.
Hebu jibu hilo swali hapo juu wenzio wamelishindwa wakakimbia jaribu wewe ili tuone kama zimo
 
Mwalimu unatakiwa kuwa na

1. Subject content knowledge (knowledge ya somo/masomo unayofundisha)
2. Pedagogical content knowledge (Teaching methods, psychology of teaching and learning, curriculum)

Mtihani unaweza kulala popote kati ya hizi sehemu mbili sio lazima uletewe maswali ya subject content knowledge (e.g. Geography)
Nakubaliana na wewe na hivyo vyote ninavyo issue ni kuwa utumishi wanatakiwa wakupe mtihani kulingana na course msailiwa alizosoma

Sio fair kumuuliza msailiwa course ambazo hajasoma either subject content au core courses hasa za psychology

Mfano geogaraphy wametoa course ya guidance and councelling tena kwa ku cite na maswali kama according to Elton's theory... ambayo unahitajika kukariri argument za huyo philosopher huku hiyo course si wote wa education tunachukua hasa wa BAED. Watu wa Udom ndio huwa wanasoma iyo course

Sasa tukisema haya kuna kunguni himu kisa anaeyasema haya ni mwalimu na wameshazoea kuburuzwa na utumishi kila kitu wanapinga na kukashifu
 
Mchakato umejaa manyanyaso Kwa vijana wasio na ajira Wala kipato kinachoeleweka kuanzia kwenye utumaji maombi ya kazi. Vijana walitakiwa kucertify vyeti vyao Kwa mwanasheria/wakili/hakimu yeyote yule, hii ilihitaji pesa kama Hauna basi umekula kwako.

Kwenye interview napo pamejaa mambo ya hovyo hovyo mfano badala ya kufuata Sheria ya utumishi ya 50% wao wana lala na kuamka na pass mark Yao.

Wenye nafasi(viongozi wa psrs na wizara Kwa ujumla wameamua kuwatafutia nafuu ndg zao ya kupata kazi Kwa upendeleo bila kuhojiwa na yeyote. Mfano kama walikuwa na Nia njema Kwa wahitimu waliokaa muda mrefu mfano miaka 10,09, n.k hapakuwa na ulazima wa kuchukua maombi kuanzia 2015 Hadi 2023 badala yake wangechukua kuanzia 2015 Hadi 2018 ili kuwashindanisha waliokaa muda mrefu na kuondoa bias.

Baadhi ya walimu wamepewa oral interview pekee na wengine written na oral interview. Walitakiwa wawafanyie waombaji wote usaili unaofanana Kwa wote. Kwa Nini wengine wahojiwe na wengine wafanye mtihani??

Acheni kutesa watanzania wenzenu kisa tu mna nafasi serikalini au katika kufanya maamuzi maana mnawaumiza sana watanzania wenzenu.
Pass mark inategemea wanahitaji watu wangapi mfano walikuwa wanachukua watu mara tati ya idadi wanayohitaji wanaenda oral
 
Mtaliwa sana vichwa.

Ule ni usaili sio mtihani wa Geography.

Hivi Walimu mnajua aptitude test huwa na maswali mchanganyiko ya Kingereza, Hesabu na ya uelewa?


Una miaka 32 kazini, Unajua maana ya usaili wa mchujo?

Kwenye mazingira ambayo kila mwomba ajira ana sifa ya kuitwa kwenye usaili unafanyaje kupata watu wa kuwafanyia uasili wa mahojiano ili kupata mtu wa kumpa kazi?
Yaap tena nimepunguza ni miaka 35 kazini ila sio continuous unastaafu sehemu unaunga kwingine kwa mikataba ninapoandika haya ni nyani aliyekwepa mishale mingi.
Nimeona mengi na tena tusilaumu nchi yetu ni nchi nyingi tu duniani
Hata raisi akiingia madarakani wakati mwingine anaweka watu ambao anaona watamtii na anawaamini huwezi weka watu wakawa kikwazo kwako basi na makazini ni hivyo wakati mwingine
 
Ndio maana mimi kwenye kufanya usaili ili kuwa fair nilikuwa natumia computer naweka conditions flani kwenye excell yenyewe ina prune.Wanaobakia naweka vigezo vingine tena baada ya mtihani flani na prune tena hivyo hivyo hatimaye nitabaki na wachache sana.
Sasa hao wachache ndio kwenye oral niwe fair naitisha jopo la watu kumi kila mmoja anamuwekea mtu marks kwa kificho kisha tunakusanya lazima utapata the best cream
 
Pass mark inategemea wanahitaji watu wangapi mfano walikuwa wanachukua watu mara tati ya idadi wanayohitaji wanaenda oral
Unahitaji watu 900 unaita interview watu 28000 upo sawa kichwani?
 
Kwahiyo hata ukiulizwa out of context and content kwakuwa ni aptitude test ni sawa

Mfano kwenye test ya geogaraphy kuna maswali ya counseling and guidance ambayo baadhi ya vyuo hapa nchini hizo course hawasomi wote wanaochukua education wewe kwako walionaje na hili
Sasa wewe utakuwa mwalimu gani usijui mambo ya counseling and guidence hujui?Hivi unajua maana aptitude test?
 
Mwl wewe wenzio hilo swali wamepata
 
Ni kweli ila basi mchujo unatakiwa kuwa fea na watu wakilalamikia mapungufu isionekane eti kisa ni walimu hapana mnakosea sana
Lazima ujue kutofautisha kati ya mtihani na usaili!
 
Amin Amin nawaambia kwa uzoefu wangu kama mwalimu niliyejistaafisha,hawa waalimu wanaofundisha private zinazotoa division one darasa zima,ukiichukua staff yote mpaka mkuu wa shule ukawapeleka shule B ya serikali utaambulia zero na div 4 za kutosha.

Sijaona mantiki wala na wala hakuna tija yoyote itakayopatikana kwa kumfanyisha mtihani mwalimu.
Mazingira ya kazi yakoje?Mshahara ukoje?Motisha zikoje?
Hivyo ndio vitu vinafanya shule za serikali kufanya madudu wala sio kwamba waalim walioko huko ni viazi.
Nitawapa mfano hai,shule niliyofundisha katika kipindi changu cha ualimu take home ilikuwa 1.2m unapoanza kazi,nyumba,maji umeme,breakfast,lunch,dinner bure.Kila alama A ina bonus ya 20000, B 10000.
Sasa katika mazingira kama hayo mwalimu anaenda na wanafunzi kiulalo ulalo.Yani unakuta waalimu usiku,jmos wako kazini kuhakikisha cv yake haiharibiki kwa kufelisha.

Sasa mwalimu wa serikali anaweza kufanya hivyo?Mshahara chini ya laki 5 ana stress kibao.Hakuna motisha yoyote ya kumfanya atumie msuli za ziada.Hata tungechukua hao madokta na maprofesa wa hayo masomo huko vyuoni tukawapeleka secondary mwendo ni huo huo wa zero.
Kwa hiyo kada zingine wanaofanya mtihani? Hivi utawapaje ajira walimu 200 kati ya walimu 2000 bila usahili?
 
Yanapima uelewa
Kwaiyo wewe shule hukujifunza
Newton's law of motion
Archimedes principle
Nyerere socialism
Au hujui haya ni mawazo ya watu na inatakiwa uyajue, tuone uelewa wako
Shida watu hawakuwai fanya usaili …. Ndio maana wanashangaa
 
Back
Top Bottom