Mchakato wa kuingiza Ukraine ndani ya NATO waanza rasmi

Mchakato wa kuingiza Ukraine ndani ya NATO waanza rasmi

Yani mataifa 30+ yanaungana kumkabili mrusi duuh. Basi tumpe credit mrusi kwa kuwa that powerful kiasi kwamba mataifa yanaungana kumkabili.
Hapana umedanganya umoja ni nguvu hivyo Russia nae mlango ukowazi akiamua aombe
 
Russia kabla ya hii operation alishachora ramani yote kitachofanyika na kitachotokea,angalia hiyo mikoa minne iliyochukuliwa Ni
1. Eneo lote la mpaka na Russia 15% ya Ukraine land and water (110,000sqrkm)
2. Maeneo ya viwanda vikubwa, bandari kubwa, kinu kikubwa Cha nuklia 20% ya matumizi ya nishati kwa Ukraine, madini muhimu,makaa ya mawe.etc
3.Buffer zone ya kutosha Kama Ukraine itajiunga NATO, etc
Samaki hujikaanga kwa mafuta yake. Na aliyenacho huzidi kuongezewa
Alamsik
 
Ukraine ndio nchi ya pili kwa ukubwa pale ulaya ukiitoa Russia alafu unasema ka nchi kadogo[emoji23][emoji23] na kingine jana wamemkatalia live zelensky kuingia NATO wazungu wanapenda maisha wewe yani watu waiangamize miji yao kwa ajili ya Ukraine[emoji23][emoji23] Yani london,paris,berlin,warsaw na miji kwa ajili ya zelensky unaota na endlea kuota

Sijui watu wa Muddy huwa mumelewa nini, angalia hii ramani au omba mtu yeyote akuelimishe kutizama picha upate aibu

russia-ukraine-icon-map-red.b6a5fcf5.png
 
Huyu jamaa MK254 reasoning yake inatia shaka sijui kosoma shule zipi yaani hata vitu vidogo kwake ni shida kuelewa nimecheka sana eti anasema Ukraine kainchi kadogo..

Watu wa muddy bana, ulisema unaogopa kuni-tag, leo umepata wapi ujasiri, ni mzuka upi huo wa kidini umesababisha hii ramani inawashinda kutizama na kuelewa...

russia-ukraine-icon-map-red.b6a5fcf5.png
 
Watu wa muddy bana, ulisema unaogopa kuni-tag, leo umepata wapi ujasiri, ni mzuka upi huo wa kidini umesababisha hii ramani inawashinda kutizama na kuelewa...

russia-ukraine-icon-map-red.b6a5fcf5.png
Wapi nimesema naogopa kukutag ? mimi Kazi yangu kusawazisha ujinga tu na mtu akiwa mjinga zaidi haelimiki kumuacha mbali .

Mzuka wa kidini inahusiana vipi na hii mada wapi nimeonyesha udini na ni makosa kufanya uchambuzi ?

Eneo lilochukuliwa na Urudi ni dogo halina umuhimu ? kama hivyo mwambie Ruto aipe mombasa au kisumi Tz maana ni kaeneo kidogo ukicompare na Ardhi ya Tz au Kenya.
 
Ukraine haiwez jiunga nato kamwe....
 
Wapi nimesema naogopa kukutag ? mimi Kazi yangu kusawazisha ujinga tu na mtu akiwa mjinga zaidi haelimiki kumuacha mbali .

Mzuka wa kidini inahusiana vipi na hii mada wapi nimeonyesha udini na ni makosa kufanya uchambuzi ?

Eneo lilochukuliwa na Urudi ni dogo halina umuhimu ? kama hivyo mwambie Ruto aipe mombasa au kisumi Tz maana ni kaeneo kidogo ukicompare na Ardhi ya Tz au Kenya.

Dini ndio imesababisha mumeingia uchizi eti mumeaminishwa kwa Urusi kufanya mauaji Ukraine anamkomoa Marekani ambaye huwa mnahubiriwa ndiye adui wenu....hii ramani inapaswa iwape aibu huko misikitini

russia-ukraine-icon-map-red.b6a5fcf5.png
 
mtoa mada pole watu wameshajichukuli mikoa yao 4 hayo mengine ni kelele tu hapa chukwaani
 
mtoa mada pole watu wameshajichukuli mikoa yao 4 hayo mengine ni kelele tu hapa chukwaani
Wamechukua vipi hiyo mikoa wakati bado vita vinaendelea na hivi tunavyozungumza vikosi vya Ukraine vimekaribia kuuzingira mji wa Lyman ambao upo kwenye mkoa wa Donetsk ambao Urusi anadai ameunyakua rasmi tangu jana.

Sasa chakushangaza Putin alisema shambulio lolote dhidi ya mikoa minne iliyoibwa na Urusi litakuwa ni shambulio dhidi ya Urusi na atatumia nyuklia kujibu.

Lakini hadi muda huu vikosi vya Ukraine bado vinaendelea na kasi ya vita na vimekombia vijiji viwili katika mkoa wa Donetsk.

Putin alidhani akishatangaza mikoa hiyo minne kwamba ipo Urusi ndo kipondo kitapungua kumbe Ukraine amenuia kuendelea na vita hadi akomboe ardhi yake yote.
 
Dini ndio imesababisha mumeingia uchizi eti mumeaminishwa kwa Urusi kufanya mauaji Ukraine anamkomoa Marekani ambaye huwa mnahubiriwa ndiye adui wenu....hii ramani inapaswa iwape aibu huko misikitini

russia-ukraine-icon-map-red.b6a5fcf5.png
Wapi nimesema hivyo au wapi nimesema mimi nipo Russia ? kama hiyo sehumu ipo ibold mahali popote niione mimi nimefanya uchambuzi wewe unaleta udini ..
 
Ndani ya NATO kuna kinga, taifa lako likiwa ndani ya NATO, yaani Urusi hupita mbali na haiwezi ikakosea njia na kwa namna Urusi imedhihirisha udhaifu wake baada ya kushindwa kuparamia Ukraine licha ya kutumia nguvu nyingi sana, ni dhahiri kwa mataifa ya huko yakitaka amani ya kudumu yajiunge NATO.......

In a speech filmed outside his presidential office in Kyiv, Zelenskiy said he was taking this “decisive step” in order to protect “the entire community” of Ukrainians. He promised the application would happen in an “expedited manner”.

“De facto, we have already made our way to Nato. De facto, we have already proven compatibility with alliance standards. They are real for Ukraine – real on the battlefield and in all aspects of our interaction,” he said. “We trust each other, we help each other, and we protect each other. This is the alliance. De facto. Today, Ukraine is applying to make it de jure.”

The president signed the application form, as did the speaker of parliament, Ruslan Stefanchuk, and the prime minister, Denys Shmyhal.
The alliance is unlikely to accept Ukraine’s imminent Nato entry while it is in a state of war. As a Nato member, fellow members would be compelled to actively defend it against Russia – a commitment that goes well beyond the supply of weapons.

Zelenskiy acknowledged this soon after Russia’s full-scale invasion. “It is clear that Ukraine is not a member of Nato, we understand this,” he said in March. “For years we heard about the apparently open door, but have already also heard that we will not enter there, and these are truths and must be acknowledged.”

In his address on Friday, shared on Telegram, Zelenskiy dismissed the ceremony in Moscow as a meaningless “farce”. He said no peace talks with Russia would be possible while Putin was president. “Putin doesn’t know what dignity and honesty is. We are ready for dialogue with Russia but only with a different Russian president,” he said.

Zelenskiy promised that Ukraine’s armed forces would continue to free territory from Russian occupation, regardless of Putin’s insinuation that Moscow might use nuclear weapons to defend land it has seized. “The whole of Ukraine will be liberated from this enemy,” he said. Moscow was against “life, the law, humanity and truth,” he added.

The president’s office let it be known that they did not watch Putin’s speech. Instead, Zelenskiy convened his national security council and met the commander in chief of his armed forces, Gen Valeriy Zaluzhnyi. He said they discussed progress on the battlefield and weapons deliveries. Zelenskiy added: “Everything will be Ukraine.”

Zelenskiy said Putin’s willingness to kill and torture in order to expand his “zone of control” was madness. Ukrainian commentators agreed. They dismissed Russia’s president as delusional and said his new “treaty” incorporating four regions of Ukraine into Russia would make no difference to the situation on the ground, where Ukrainian troops are on the brink of securing a major victory.

The Ukrainian MP Oleksiy Honcharenko described Putin as an “insane, inadequate person” and said Russia under his two-decade leadership had become a “constant danger to the world”. The ceremony inside the Kremlin’s St George’s hall was full of “strange people” who “look absolutely awful”, he said.

Speaking to the BBC, he pointed out that the four supposed leaders of the provinces formally annexed by Russia – Donetsk, Luhansk, Zaporizhzhia and Kherson – had no democratic mandate. “Who elected these people? Who are they?” he said, describing them as puppets.

The prominent defence correspondent for the Kyiv Independent newspaper, Illia Ponomarenko, called Putin “absolutely mad”. He said the speech was the “most imperialistic” since Adolf Hitler. The Kyiv Post tweeted a question of the day asking: “On scale from 1,000 to 1,001, how mentally deranged is he?”

Zelenskiy has made clear that annexation means negotiations with the Kremlin are at an end. His senior aides pointed to the fact that as Putin was speaking, thousands of his troops faced annihilation in the city of Lyman, in the Donetsk region – an area Moscow says is Russia’s “for ever”.

Zelenskiy’s chief of staff, Andriy Yermak, tweeted a picture of a cauldron, a reference to the fact Russian soldiers were apparently trapped in Lyman. Another senior aide, Mykhailo Podolyak, said Moscow would have to ask Kyiv for their safe exit. He added: “If, of course, those in Kremlin are concerned with their soldiers.”
Acha kujipq moyo mini imekwenda na maji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dini ndio imesababisha mumeingia uchizi eti mumeaminishwa kwa Urusi kufanya mauaji Ukraine anamkomoa Marekani ambaye huwa mnahubiriwa ndiye adui wenu....hii ramani inapaswa iwape aibu huko misikitini

russia-ukraine-icon-map-red.b6a5fcf5.png
Wewe inaelekea ni zao la lishe dini Kenya kupelekea mpaka kukosa virutubisho muhimu katika ubongo ana sasa umeshindwa kujibu uchambuzi wangu kuhusu pale ulivyosema Urusi umechukua sehemu ndogo tu na mifano yangu ya Mombasa na Kisumi zaidi ya kukimbilia polisi na kiniQuote kitu ambacho hakihusiani kabisa.
 
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
IMG_20220929_120904_776.jpg
 
Alianza kwa kiherehere cha kutaka kuparamia Ukraine yote ikiwemo Kyev, akapokea za uso na kwenda kuambulia huto tumiji twa mpakani, na twenyewe tutamtoka puani maana shughuli ya kufika Crimea bado inaendelea.
15% imekwenda na maji
 
Wewe inaelekea ni zao la lishe dini Kenya kupelekea mpaka kukosa virutubisho muhimu katika ubongo ana sasa umeshindwa kujibu uchambuzi wangu kuhusu pale ulivyosema Urusi umechukua sehemu ndogo tu na mifano yangu ya Mombasa na Kisumi zaidi ya kukimbilia polisi na kiniQuote kitu ambacho hakihusiani kabisa.

Ninapojadili na nyie mliopotoshwa na uzombi wa kidini, anything goes, maana hii ramani ilipaswa iwape aibu..

russia-ukraine-icon-map-red.b6a5fcf5.png
 
Wapi nimesema hivyo au wapi nimesema mimi nipo Russia ? kama hiyo sehumu ipo ibold mahali popote niione mimi nimefanya uchambuzi wewe unaleta udini ..

Kwa sasa hivi nyote mumeshikiliwa akili, mnadhani kwa Urusi kuwaua watu wa Ukraine mnaikomoa Marekani...
 
Back
Top Bottom