adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 12,207 Reaction score 26,521 Oct 1, 2022 #61 MK254 said: Ninapojadili na nyie mliopotoshwa na uzombi wa kidini, anything goes, maana hii ramani ilipaswa iwape aibu.. Click to expand... We jamaa akili zako sasa, hiyo ramani na dini inahusiana vipi na nilichokiandiaka ?
MK254 said: Ninapojadili na nyie mliopotoshwa na uzombi wa kidini, anything goes, maana hii ramani ilipaswa iwape aibu.. Click to expand... We jamaa akili zako sasa, hiyo ramani na dini inahusiana vipi na nilichokiandiaka ?
adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 12,207 Reaction score 26,521 Oct 1, 2022 #62 MK254 said: Kwa sasa hivi nyote mumeshikiliwa akili, mnadhani kwa Urusi kuwaua watu wa Ukraine mnaikomoa Marekani... Click to expand... Wapi nimesema hivyo mbona unaropoka bila ushahidi kama madada wa saluni wa Buza kwa Lulenge ?
MK254 said: Kwa sasa hivi nyote mumeshikiliwa akili, mnadhani kwa Urusi kuwaua watu wa Ukraine mnaikomoa Marekani... Click to expand... Wapi nimesema hivyo mbona unaropoka bila ushahidi kama madada wa saluni wa Buza kwa Lulenge ?
MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Oct 1, 2022 Thread starter #63 adriz said: We jamaa akili zako sasa, hiyo ramani na dini inahusiana vipi na nilichokiandiaka ? Click to expand... hautakaa uelewe uhusiano wa hii ramani maana mumekua kama misukule wa kidini...ila mnapaswa mupate aibu
adriz said: We jamaa akili zako sasa, hiyo ramani na dini inahusiana vipi na nilichokiandiaka ? Click to expand... hautakaa uelewe uhusiano wa hii ramani maana mumekua kama misukule wa kidini...ila mnapaswa mupate aibu
MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Oct 1, 2022 Thread starter #64 adriz said: Wapi nimesema hivyo mbona unaropoka bila ushahidi kama madada wa saluni wa Buza kwa Lulenge ? Click to expand... Na tayari wanaendelea kupokea kichapo, hao Warusi mliokua mnategemea kwamba ndio ulinzi wa waarabu wenu sasa hivi hawana chochote....
adriz said: Wapi nimesema hivyo mbona unaropoka bila ushahidi kama madada wa saluni wa Buza kwa Lulenge ? Click to expand... Na tayari wanaendelea kupokea kichapo, hao Warusi mliokua mnategemea kwamba ndio ulinzi wa waarabu wenu sasa hivi hawana chochote....