Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Nafuatilia mchakato wa kumpata Jaji mkuu wa nchini Kenya.
Mahojiano ya walioomba nafasi hizo yanaendelea kufanyika na Judicial Service Commission, tena yakiwa live kwenye media nyingi.
Natamani sana na hapa kwetu Tanzania tuwe na mchakato mzuri na wenye uwazi kama huu.
Mahojiano ya walioomba nafasi hizo yanaendelea kufanyika na Judicial Service Commission, tena yakiwa live kwenye media nyingi.
Natamani sana na hapa kwetu Tanzania tuwe na mchakato mzuri na wenye uwazi kama huu.