ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 496
- 570
Hakiwezi kufa ila kitapoteza ushawishi kwa watu na wenye akili timamu nasisi tuta sapoti propaganda maarufu ya kijani na njano kwamba upinzani Tanzania haupo wenyeviti wote wa vyama vya upinzani ni mapandikizi.Chakademus is dead
Trust neHakiwezi kufa ila kitapoteza ushawishi kwa watu na wenye akili timamu nasisi tuta sapoti propaganda maarufu ya kijani na njano kwamba upinzani Tanzania haupo wenyeviti wote wa vyama vya upinzani ni mapandikizi.
Mkiambiwa mlete ushaidi mnakimbilia Club House kwa Maria kulalamika, ona sasa Slaa mmemponza.Naona Toka majuzi mbowe anasambaza pesa kwa wafuasi wake yule mzee miyeyusho sana π ana tamaa ya madaraka tena
Ni ngumu kama UDP,CUF,NCCR havijafa basi CDM haiwezi kufa bali itaendelea kuwa inverted pyramid daima.Trust ne
Chakademus is dead
Aliondoka zzk-CDM IPOHakiwezi kufa ila kitapoteza ushawishi kwa watu na wenye akili timamu nasisi tuta sapoti propaganda maarufu ya kijani na njano kwamba upinzani Tanzania haupo wenyeviti wote wa vyama vya upinzani ni mapandikizi.
Mtaji wa siasa ni watu hao wote uliowataja kipindi icho wanachama walikua pamoja na FAM,unashindwa kuelewa nyakati,nyakati zmebadilika embu shtuka lbd uwe wewe ni kijani na njano u naataka CDM ipoteze nguvu.Aliondoka zzk-CDM IPO
kaondoka silaa-CDM ikapanda chati
Sumai na lowasa CDM IPO
sembuse mwehu lisu.
Tena nadhani akiondoka lisu watu wenye akili timamu sasa wataiunga mkono CDM
Wewe humtaki Mbowe atumie haki yake ya kidemokrasia kugombea nafasi ya uenyekiti? Je wewe ni mjumbe na utapiga kura? Je, kama ni mjumbe basi tumia haki Yako umchague unayetaka na si vinginevyo. CHADEMA ni chama Cha kidemokrasia na mwanachama yeyote anaweza kugombea na katiba Yao ina mfumo wa uchaguzi. Si TUME ya uchaguzi unayoielewa wewe. Tumia haki Yako na si vinginevyo.Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo
Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.
Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.
Ni hayo tu kwa leo
Demokrasia ina standards, zipo pia procedures za kumeet malengo ya demokrasia. Kama hizo procedures zinaleta viongozi wasiofaa basi hizo procedures ni za hovyoWewe humtaki Mbowe atumie haki yake ya kidemokrasia kugombea nafasi ya uenyekiti? Je wewe ni mjumbe na utapiga kura? Je, kama ni mjumbe basi tumia haki Yako umchague unayetaka na si vinginevyo. CHADEMA ni chama Cha kidemokrasia na mwanachama yeyote anaweza kugombea na katiba Yao ina mfumo wa uchaguzi. Si TUME ya uchaguzi unayoielewa wewe. Tumia haki Yako na si vinginevyo.
Mmevurugwa mkavuruganaAliondoka zzk-CDM IPO
kaondoka silaa-CDM ikapanda chati
Sumai na lowasa CDM IPO
sembuse mwehu lisu.
Tena nadhani akiondoka lisu watu wenye akili timamu sasa wataiunga mkono CDM
Wewe mwendawazimu Mbowe ndio muasisi wa CHADEMA? Enzi za Edwin Mtei na Bob Makani ulikuwa bado kishumundu nini, nyie wachaga ndio nnasababisha CHADEMA ionekane ni SACCOS ya MboweMbowe ndo muasisi wa cdm, na ndo kaipigania na kuijenga hadi kufika hapa.
Wakati wewe unahangaika na waume za watu mbowe anahangaikia jamii ya watanzania kwa jasho kubwa.
Nendeni mkaanzishe vyama vyenu kwani mmeshikwa mikono na macho si msajili wa vyama yupo.
Poteeni au muende ccm, swaini, ninyi
Bado unanyonya hujui hata history ya kuanzishwa kwa CHADEMA.Madaraka anaeyataka anafaidika nayo in terms of token.
Mbowe anatoa fedha zake anafaidika na nini.
Kaanzisha chama hivyo hawezi kuachia mbwa mwitu wakiue
Tusubiri tarehe 21/01/2025 wajumbe wa Chadema wamaamilishe uchaguzi wao.Demokrasia ina standards, zipo pia procedures za kumeet malengo ya demokrasia. Kama hizo procedures zinaleta viongozi wasiofaa basi hizo procedures ni za hovyo
Tofautisha nyakati na mwamko wa wafuasi. Kipindi cha Zitto hata sisi tulibaki. Lakini Safari hii mtalinywa kutoka kwa huyo huyo mwehuAliondoka zzk-CDM IPO
kaondoka silaa-CDM ikapanda chati
Sumai na lowasa CDM IPO
sembuse mwehu lisu.
Tena nadhani akiondoka lisu watu wenye akili timamu sasa wataiunga mkono CDM
Akikujibu ni tagg pleaseKatiba inasemaje? πΌ
Hivi sasa mbowe anahitajika na watu kuliko kipindi chote cha huko nyuma.Mtaji wa siasa ni watu hao wote uliowataja kipindi icho wanachama walikua pamoja na FAM,unashindwa kuelewa nyakati,nyakati zmebadilika embu shtuka lbd uwe wewe ni kijani na njano u naataka CDM ipoteze nguvu.
Weka hizo procedure kuendesha familia yako au anzisha chama chako uweke hizo proceduresDemokrasia ina standards, zipo pia procedures za kumeet malengo ya demokrasia. Kama hizo procedures zinaleta viongozi wasiofaa basi hizo procedures ni za hovyo
Mwehu wewe, mbowe ameshiriki kuipaisha cdm maisha yake yote enzi za kina mtei alikuwa nao nyau wew.Wewe mwendawazimu Mbowe ndio muasisi wa CHADEMA? Enzi za Edwin Mtei na Bob Makani ulikuwa bado kishumundu nini, nyie wachaga ndio nnasababisha CHADEMA ionekane ni SACCOS ya Mbowe