brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Nendeni nendeni nendeni nyangao ninyiTofautisha nyakati na mwamko wa wafuasi. Kipindi cha Zitto hata sisi tulibaki. Lakini Safari hii mtalinywa kutoka kwa huyo huyo mwehu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni nendeni nendeni nyangao ninyiTofautisha nyakati na mwamko wa wafuasi. Kipindi cha Zitto hata sisi tulibaki. Lakini Safari hii mtalinywa kutoka kwa huyo huyo mwehu
mnachangisha fedha kwa wanachama mnanufaika wenyewe tumewashtukia.Mbowe ndo muasisi wa cdm, na ndo kaipigania na kuijenga hadi kufika hapa.
Wakati wewe unahangaika na waume za watu mbowe anahangaikia jamii ya watanzania kwa jasho kubwa.
Nendeni mkaanzishe vyama vyenu kwani mmeshikwa mikono na macho si msajili wa vyama yupo.
Poteeni au muende ccm, swaini, ninyi
Nyie CCM ndio tatizo kubwa Chadema.Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo
Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.
Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.
Ni hayo tu kwa leo
Alikuwa peke yake? Na hoja yako ya kiuendawazimu kuwa ndio muasisi ina mashiko? Utakuwa kimada wake huna akili unazungumzia mahaba, pathetic foolMwehu wewe, mbowe ameshiriki kuipaisha cdm maisha yake yote enzi za kina mtei alikuwa nao nyau wew.
Mkishumundu ana akili kuliko wewe mnyaa
Hivi vyama hata tarehe za uchaguzi unazijua? Lisu akishinda CHADEMA itainuka snNi ngumu kama UDP,CUF,NCCR havijafa basi CDM haiwezi kufa bali itaendelea kuwa inverted pyramid daima.
Acha wajipe matumaini lakini CDM inaenda kuungana na UDPTofautisha nyakati na mwamko wa wafuasi. Kipindi cha Zitto hata sisi tulibaki. Lakini Safari hii mtalinywa kutoka kwa huyo huyo mwehu
Democracy ni uchaguzi ufanyike kwa haki na uwazi kila mmoja aridhike na process nzima(si lazima aridhike na matokeo ila kikubwa aridhike na process), kulazimisha mmoja ashindwe hata kama atachaguliwa na wengi ni upumbavu uliokithiri na ni kitokuamini katika demokrasia(wengi wape).Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo
Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.
Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.
Ni hayo tu kwa leo
Wengi tunataka hivyo ila FAM hakubali kwamba nyakati zimemkataa na anafikiri hizi kelele ni propaganda tuu.Hivi vyama hata tarehe za uchaguzi unazijua? Lisu akishinda CHADEMA itainuka sn
Yeye yupo pale kuizika CHADEMAWengi tunataka hivyo ila FAM hakubali kwamba nyakati zimemkataa na anafikiri hizi kelele ni propaganda tuu.
Upo sahihi 100%.Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo
Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.
Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.
Ni hayo tu kwa leo
Kweli kabisaKatika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo
Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.
Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.
Ni hayo tu kwa leo
Mbowe ni CCM ndani ya chademaKatika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo
Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.
Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.
Ni hayo tu kwa leo
Hili andiko ni la lini..?Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo
Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.
Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.
Ni hayo tu kwa leo