Mchakato wa uchaguzi hautakuwa na tija kama hautamuondoa Mbowe madarakani

Mchakato wa uchaguzi hautakuwa na tija kama hautamuondoa Mbowe madarakani

Mbowe ndo muasisi wa cdm, na ndo kaipigania na kuijenga hadi kufika hapa.
Wakati wewe unahangaika na waume za watu mbowe anahangaikia jamii ya watanzania kwa jasho kubwa.
Nendeni mkaanzishe vyama vyenu kwani mmeshikwa mikono na macho si msajili wa vyama yupo.
Poteeni au muende ccm, swaini, ninyi
mnachangisha fedha kwa wanachama mnanufaika wenyewe tumewashtukia.
 
Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo

Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.

Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.

Ni hayo tu kwa leo
Nyie CCM ndio tatizo kubwa Chadema.
 
Mwehu wewe, mbowe ameshiriki kuipaisha cdm maisha yake yote enzi za kina mtei alikuwa nao nyau wew.
Mkishumundu ana akili kuliko wewe mnyaa
Alikuwa peke yake? Na hoja yako ya kiuendawazimu kuwa ndio muasisi ina mashiko? Utakuwa kimada wake huna akili unazungumzia mahaba, pathetic fool
 
Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo

Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.

Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.

Ni hayo tu kwa leo
Democracy ni uchaguzi ufanyike kwa haki na uwazi kila mmoja aridhike na process nzima(si lazima aridhike na matokeo ila kikubwa aridhike na process), kulazimisha mmoja ashindwe hata kama atachaguliwa na wengi ni upumbavu uliokithiri na ni kitokuamini katika demokrasia(wengi wape).
Kama kuna rushwa au kwa namna fulani kuna mazingira yanayoashiria rushwa imetembezwa viwekwe hadhari kabla uchaguzi haujafanyika siyo mtu ashindwe aje na vijisababu uchwara. Naamini wajumbe(majority of them) ni watu wasiotaka chama kife wala hawatamani kififie hivyo hata wakila rushwa(kama kweli rushwa imetembezwa and it's a criminal offense kutoa au kupokea rushwa) watachagua mtu wanayeamini hatakiua wala kukififisha chama chao. Definitely wajumbe wanawajua wagombea kiundani zaidi ya mashabiki wanaowajulia mitandaoni.
 
Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo

Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.

Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.

Ni hayo tu kwa leo
Upo sahihi 100%.
Uongozi wote uliopo kuanzia mwenyekiti na makamu wake wote wajiuzulu siku 3 kabla ya uchaguzi. Wateuliwe watu wawili ambao wataongoza vikao.
Katibu mkuu na naibu wake nao wajiuzulu ili kupisha uchaguzi.
 
Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo

Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.

Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.

Ni hayo tu kwa leo
Kweli kabisa
 
Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo

Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.

Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.

Ni hayo tu kwa leo
Mbowe ni CCM ndani ya chadema
 
Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia taasisi kutimiza malengo

Procedures zinapaswa kuwa na msaada wa kuzuia vihatarishi. Kama vihatarishi vitaendelea kutokea maana procedures hazifanyi kazi na hazina tija. Kwa lugha rahisi una procedure ya kuweka mlinzi kwenye ghala lakini bado wizi unatokea. Basi uwepo wa mlinzi hauna msaada wa kumaliza tatizo inabidi itafutwe namna nyingine.
Kwa nini tunataka Tume Huru na Sheria nzuri ya uchaguzi? Ni kwa sababu procedure ya uwepo wa Tume ya Uchaguzi (iliyopo) umeshindwa kuzuia wasiostahili kushinda uchaguzi.

Vivyo hivyo kwa mchakato wa uchaguzi wa CHADEMA. Ni dhahiri kwamba Mbowe ni Tatizo mama katika CHADEMA kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake. Mbowe ni kihatarishi (risks). Kwa hiyo kama procedures zilizopo hazitaondoa (mitigate) hii risks ya uwepo wa Mbowe madarakani maana mchakato mzima wa Uchaguzi ni hopeless.

Ni hayo tu kwa leo
Hili andiko ni la lini..?

Huyu Freeman Mbowe unayemsema hapa siyo Mwenyekiti tena, au hujui ndugu....?

Labda ungefafanua zaidi uoneshe hiyo risk iko ktk engo gani...

Je uwepo wake wapi ndio unakuwa ni risk?

Je, ni kuwa hai kwake na hivyo kuiondoa hiyo risk awe hanged hadi afe..?

Je, aondolewe kwenye kila ngazi ya uongozi ikiwemo kutokuwa mjumbe wa kudumu wa Central Committee...?

Kama yote haya ni siyo, what exactly do you mean kusema huyu bwana ni risk na ni kikwazo..?
 
Back
Top Bottom