mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Mchezaji wa zamani wa simba, yanga, kagera na stand united baada ya kustaafu kucheza amehamia kwenye Tasnia hiyo akiwa anafanyia kazi clouds media. Kipindi ni kila siku saa 3 usiku na jumapili saa 7 mchana
Wewe mdau unamuonaje Amri Kiemba?
Amefanikiwa kwa hilo?
Je, anaonyesha mapenzi na timu ipi ya kariakoo?
Ungemshauri aongeze kipi ili afanikiwe zaidi?
Wewe mdau unamuonaje Amri Kiemba?
Amefanikiwa kwa hilo?
Je, anaonyesha mapenzi na timu ipi ya kariakoo?
Ungemshauri aongeze kipi ili afanikiwe zaidi?