Mwambie aache ujinga huyoe jamaa." Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)
Sababu
Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.
Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special
View attachment 2605801
Ibenge ni moto Mzee babaMwambie aache ujinga huyoe jamaa.
Mbona sasa yupo kombe la loosers. Asifike kwenye matuta wakati kuingia makundi tu kulimshinda.
Hao walioingia matuta wenyewe wamemtandika Taifa 2. Sa mbona hakurudisha ndani ya dakika 90 kwa kuusoma mchezo.
Hata ww unajua kuwa hakunaga kitu kama hiko kwenye derby.Tulifanya opportunity cost.....
Tumuachie kolo ashinde nasisi tushinde game ya kimataifa
Achana na hawa utopolo vilaza. Badala ya kughushi vyeti vya udom wao wanaghushi vya Milembe hospitalHata ww unajua kuwa hakunaga kitu kama hiko kwenye derby.
Mbona hawakupasuka game vs simba?" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)
Sababu
Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.
Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special
View attachment 2605801
Kwani wakati Yanga anatolewa kwenye raundi ya kwanza ndipo akahamia shirikisho kocha si alikuwa Nabi ?" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)
Sababu
Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.
Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special
View attachment 2605801
Hapana hakuna madini yoyote!Kuna madini hapa Mkuu