Mchambuzi: Angekuwa ni Nabi Simba isingefika kwenye matuta

Mchambuzi: Angekuwa ni Nabi Simba isingefika kwenye matuta

Kula chuma hicho!!
Angekuwa ni Robertinho utopolo ingeshiriki CAF champions. Robertinho ni bingwa wa kufunga goli nyingi. Angeifunga Al hilal si chini ya goli 2 kwa Mkapa.
 
Kula chuma hicho!!
Angekuwa ni Robertinho utopolo ingeshiriki CAF champions. Robertinho ni bingwa wa kufunga goli nyingi. Angeifunga Al hilal si chini ya goli 2 kwa Mkapa.
Timu dhaifu wydadi mbna imemshinda??
 
" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)


Sababu

Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.

Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special

View attachment 2605801
Mwambie aache ujinga huyoe jamaa.

Mbona sasa yupo kombe la loosers. Asifike kwenye matuta wakati kuingia makundi tu kulimshinda.

Hao walioingia matuta wenyewe wamemtandika Taifa 2. Sa mbona hakurudisha ndani ya dakika 90 kwa kuusoma mchezo.
 
Mwambie aache ujinga huyoe jamaa.

Mbona sasa yupo kombe la loosers. Asifike kwenye matuta wakati kuingia makundi tu kulimshinda.

Hao walioingia matuta wenyewe wamemtandika Taifa 2. Sa mbona hakurudisha ndani ya dakika 90 kwa kuusoma mchezo.
Ibenge ni moto Mzee baba
 
Hata ww unajua kuwa hakunaga kitu kama hiko kwenye derby.
Achana na hawa utopolo vilaza. Badala ya kughushi vyeti vya udom wao wanaghushi vya Milembe hospital
 
" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)


Sababu

Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.

Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special

View attachment 2605801
Mbona hawakupasuka game vs simba?
 
" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)


Sababu

Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.

Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special

View attachment 2605801
Kwani wakati Yanga anatolewa kwenye raundi ya kwanza ndipo akahamia shirikisho kocha si alikuwa Nabi ?
 
Back
Top Bottom