Mbuzi wangeenda kuharibu miundombinu ya uwanjaMliwaonaje na wakati basi lilifungwa?
Hata ingekuwa hivyo hicho ndicho kilichowatisha mtani?
Kwani hao mbuzi na wazee wangewafanya nini?
Njia pekee ya kupata hizo points ni kushinda mechi itakayopangwa.
Uwanja ni mali yako?Mbuzi wangeenda kuharibu miundombinu ya uwanja
View attachment 3267505
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ingepigwa derby wangesema wamerogwa, kuna yule mzee wa za ndani anasema timu haina stamina so ikaamua kukimbia mechi.Kwa walioangalia mechi yao ya jana, hakika watakubaliana na huyo mtangazaji! Wachezaji ni kama walikuwa wamefungwa viroba vya mchanga kwenye miguu yao. Hata magoli waliyofunga, wala hayakuwa ma maajabu!
IMagine goli la kwanza mchezaji wa TMA alijifunga kwa uzembe wake mwenyewe!
Na hyo mechi itakayopangwa....Yanga hawaitambui[emoji23]Njia pekee ya kupata hizo points ni kushinda mechi itakayopangwa.
Mlikufa kiume😄😄😄Na kama uliicheki Ile mechi ...utagundua kuwa Yanga walicheza Ile mechi kiume....sema tu bahat haikua yao
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapana but Yanga wangekuwa responsible Kwa uharibifu wowote ungeletwa na wazee....+ MbuziUwanja ni mali yako?
Yaaah mkuu...bahati haikua yetuMlikufa kiume[emoji1][emoji1][emoji1]
Timu imeingia robo baada ya miaka 32 unasema bahati haikuwa yenu subirini miaka 32 tena ndio muingie robo. Kipindi Simba imeanza kujitafuta Kimataifa mlikuwa mnawapokea wapinzani. Kumepambazuka ndio mnakumbuka shuka 😁😁
Hapana,mmekimbia kipigooooHapana but Yanga wangekuwa responsible Kwa uharibifu wowote ungeletwa na wazee....+ Mbuzi
Refer issue ya wanasimba kung'oa viti Nan alilipa?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mc alger sio TMA tofautisha kwanza ivyo vitu,,timu ya daraja la kwanza inayoshika nafasi ya 5 kwenye msimamo na bado ukacheza nayo vile mnatakiwa kujiwekea alama ya kuuliza!Hata kwenye mechi yenu dhidi ya MC Alger alisema Yanga imejipata na mna uwezo wa kutinga robo fainali na aliwapa maua yenu! Mwisho kilichotokea unakijua.
Kama Simba angecheza na mc algers...Simba angekandwa 5Timu imeingia robo baada ya miaka 32 unasema bahati haikuwa yenu subirini miaka 32 tena ndio muingie robo. Kipindi Simba imeanza kujitafuta Kimataifa mlikuwa mnawapokea wapinzani. Kumepambazuka ndio mnakumbuka shuka [emoji16][emoji16]
Simba ndiye aliandika barua ya kukimbia mechiHapana,mmekimbia kipigoooo
Kabla hawajaandika Yanga ndio iliiogopa simba isifanye mazoezi kwani wangetegua mitego yao,
Simba ndo wanaoleta wanyama uwanjaniKabla hawajaandika Yanga ndio iliiogopa simba isifanye mazoezi kwani wangetegua mitego yao,
Na mbaya zaidi uwanja wenyewe CAF wameufungia,umekutwa mmechimbia hadi ngozi za wanyama na viungo vingine,mashimo kibao,mjitu ni michawi sana aisee,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo mtangazaji sijui anapigwa miti na Nani.Anaandika yusuph mkule
"Nimewatazama Simba Leo dhidi ya TMA mpaka mwisho Kwa umakini sana nmegundua jambo. Pamoja na ushindi wa 3_0 wa simba,
kweli walistahili kuikimbia derby ya machi 8 na ilikuwa afya kuikacha derby hyo japo najua Kuna watu watanipinga."
Je una maoni Gani na huyu mchambuzi???View attachment 3267462
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Siku hz timu zinzlashinda kwa bahati siyo kwa uwezo?Na kama uliicheki Ile mechi ...utagundua kuwa Yanga walicheza Ile mechi kiume....sema tu bahat haikua yao
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapana huyu mchambuzi nguli pale usafiniHuyo mtangazaji sijui anapigwa miti na Nani.
Mungu wake amsaidie tu.
Kuna muda unacheza Kwa uwezo mkubwa.....ila bahati inakukataaSiku hz timu zinzlashinda kwa bahati siyo kwa uwezo?