Mchambuzi: Simba bado wanacheza mpira wa ovyo

Mashabiki wa Simba ni kero sana. Mimi naona mpewe timu muiendeshe kwa kila kitu. Hamna shukrani kabisa. Kazi tu kuwavunja moyo wachezaji, kocha, viongozi na wawekezaji. Kifupi hamfai kuwa Mashabiki katika ulimwengu uliostaarabika.
Unasemaje...!?

Usipoitwa mamluki kwa hii sms niite Mfalme mwenye hekima "Suleiman" nimekaa pale.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sasa shafih dauda naye mchambuzi wa kumsikiliza utakuwa na kichaa wewe sio bure..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha inabidi afanyie kazi ilo
 
Huyo mchambuzi na ww mtakufa midomo wazi...kwa alieangalia mechi Simba imecheza vzr sana...na Coastal wamecheza vzr sana pia...
Acheni chuki ongeeni reality...
One day nitakufundisha basics za uchambuzi......then utakuwa na inner thinking ya mpira .....than be too more shabiki
 
Daaaah [emoji23]
 
[emoji23][emoji23]
 
Mashabiki wa Simba ni kero sana. Mimi naona mpewe timu muiendeshe kwa kila kitu. Hamna shukrani kabisa. Kazi tu kuwavunja moyo wachezaji, kocha, viongozi na wawekezaji. Kifupi hamfai kuwa Mashabiki katika ulimwengu uliostaarabika.
Mudi anawafundisha kulalamika[emoji23][emoji23]
 
Sio mashabiki wa simba, ni mamluki wa kidimbwini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…