Mchambuzi wa EFM Mwanayanga SC Jemedari Said: Yanga SC iache Unafiki kuhusu Mechi yake na Simba SC tarehe 3 July, 2021

Mchambuzi wa EFM Mwanayanga SC Jemedari Said: Yanga SC iache Unafiki kuhusu Mechi yake na Simba SC tarehe 3 July, 2021

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
" Ifike muda sasa tuambiane ukweli tafadhali. Yanga SC waache unafiki na kutaka Kuwahadaa Mashabiki wao kwani wameshakaa na Serikali pamoja na Simba SC na Kukubaliana tena hadi kwa Kusaini kuwa watacheza huo Mchezo baada ya Kuahirishwa na Serikali iweje leo wanajitokeza Watu wengine pembeni na kutaka Kuharibu hii Ligi yetu? Kiukweli inakera tena kuona Upuuzi huu unatoka katika Klabu Kubwa na ya Kihistoria hapa Tanzania "

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo

Haya sasa wana Yanga SC Mimi GENTAMYCINE mwana Simba SC nikiwa ' nawachamba ' kutwa hapa JamiiForums huwa ' mnachukia ' hebu mchukieni na Jemedari Said mwana Yanga SC mwenzenu ' Kindakindaki ' kwa hii Ngumi yake ya Uso ya ' TKO ' aliyowapigeni.
 
Simba na Yanga sio timu kubwa hizi ni timu mbili maarufu bado hazijaufikia ukubwa wa kimataifa.

Hakuna timu kubwa zinazosusa kucheza mechi ya watani wa jadi kwa vigezo vya kipumbavu kama tunavyovisikia kila siku hapa bongo.
 
Mambo ya mpira tu ndiyo tunafikishana huko. Sio poa kabisa afu timu zenyewe Simba na yanga..
 
Back
Top Bottom