Mchambuzi wa EFM Wilson Oruma aishauri Simba SC

dem boy

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
6,580
Reaction score
15,739
Anachambua Mchambuzi wa Efm Tanzania, Wilson Oruma.



"Simba Sports jipangeni, mkiendelea Kusema Yanga Africa wamekutana na team dhaifu"

"Mtashangaa wanacheza Fainali ya CAF champions league next season. Hii Fainali ya CAFCC haiwezi Kuwaacha Yanga hivi hivi"

"Wamepata uzoefu Mkubwa, ambao nyie team yenu haina.Tengenezeni Team"
 
 
Kwani huyo Yanga si alifurushwa na al hilal champs league na makundi hakuingiaa lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…