ππππHiyo 7,000 ni siku nzima.
Na ni watu wawili.
Ndo maana kaandika 7,000 mara siku 3.
Sasa piga mahesabu mmenda vacatio na baby msosi mnakula 7,000 kuanzia asubuhi mpala jioni.
Bora nibaki kwetu nisugue sufuria zing'ae
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Musoma kuna watoto wakali sana na wanajua kutupia na kutumia mno.[emoji2][emoji2][emoji2]sasa mtu wa musoma ulitaka ampeleke wapi ibiza kumuona rihana au criss brown hapo hapo kwa choki ndio hadhi yake. .usikute baada ya kwenda kumuona choki aliomba hadi kupiga nae picha
πππwachache mkuu... mimi nimewahi kukutana nao. .. wanaojua kutumia wachache mnoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Musoma kuna watoto wakali sana na wanajua kutupia na kutumia mno.
ππ muacheni mtoa mada please7,000 mlikula nini? Unampa dhambi za bure mtoto wa watu.
Ndugu yangu hiyo hela inaelekea inamuuma sana mpaka kaja kuanzishia thread [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unanifurahisha
π³mkuuπππwachache mkuu... mimi nimewahi kukutana nao. .. wanaojua kutumia wachache mnoo
π π πNdugu yangu hiyo hela inaelekea inamuuma sana mpaka kaja kuanzishia thread [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu mbona hakuna matumizi ya kutisha??
Kwenye vocha, msosi nauli hata mie nimewazidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku nyingine jitahidi na ujifunze kutumia hela
ilibidi nicheke tuYaani anamtoa mtu Musoma kwenda kumuona Ali choki.
Nimecheka mnoo
Mrefu, mweupe, ana kiuno cha nyiguNipo serious kama ulikuwa upo naye nyegezi huyu dem ni malaya sana. Maana mi pia nlikuwa mwanza aliniita nije kumfuata nyegezi, na nikampa lift hadi musoma