Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,134
- 998
Unakuwa mkali hivyo leo tarehe 7/10/2016, thread ya May 27, 2014 na watu tumeshajenga kwa kuelimishwa na wakufunzi huru humu jukwaani.Hii ndio ramani? Umeambiwa ramani bhana acha kujifanya huelewi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuwa mkali hivyo leo tarehe 7/10/2016, thread ya May 27, 2014 na watu tumeshajenga kwa kuelimishwa na wakufunzi huru humu jukwaani.Hii ndio ramani? Umeambiwa ramani bhana acha kujifanya huelewi...
Toa ufafanuz zaidi, nyumba hiyo ni mfumo wa banda au vinginevyo, km sio banda orodhesha maeneo mengine muhim ya nyumba km vile vyoo vingapi, jiko, store, maktaba, varander, hapo ndipo ukadiriaji unaweza kuwa sahihi vinginevyo taarifa utakayo pewa itakuwa sio sahihiWana JF, natumai mko vizuri.
Naomba mwenye uzoefu na ujenzi anisaidie. Nitahitaji matofali mangapi ya sementi (BLOCK) ili kujenga nyumba hii hadi boma kuisha. Naomba kuwasilisha, KARIBU.
HakikaWengi wetu tumekuwa tunakwepa saana matumizi wa wataalam wetu wa ujenzi pamoja na sekta nyingine, halafu tunakimbilia kuuliza humu. Hii tabia ni sawa na kudownload application bila serial number au key, kwa hiyo ita run kama demo tu
Mtu anaweza akachorewa ramani mtaani, au akanunua ramani kwa wale wanaouza kwenye makutano ya barabara. Pengine ni ramani isiyokidhi mahitaji au uwezo wako, maana wakati mwingine hata ramani 2 za vyumba vi3 vinatofautina bei Kwa sababu ya mpangilio wa vyumba.
Kk unaweza kunitumia hiyo image kwa other sides 0713 394939Nimeilike hiyo ramani
zumbemkuu unaweza kutuma hii image pande nyingine za nyumbasample house.
1. image kama inavyoonekana
2. PDF ni ramani ya hiyo image
3. Excel file ni estimate cost ya hiyo ramani
NB; assume project ipo dsm au maeneo ya jirani yanayozunguka dsm. also assume plot ni flat or ina gentle slope.
NOTE; nimeweka Excel kwa makusudi kwamba unaweza ku'edit kulingana na bei halisi za building materials na labour charge kulingana na eneo unalokusudia kujenga.
kwa mimi hizo ndo bei zangu za labour charge and supervision.
Unaamanisha tofali za msingi(foundation) tuu au tafali za nyumba nzima??Kama unamaanisha tafali za nyumba nzima nakushauri rudi darasaniikiwa eneo tambarare hakikisha una tofali zisizopungua 1,600
Jaman twende taratibu tuelimishane:hapana nina kauzoefu kidogo kwenye hayo mambo...
kiongozi hiyo nyumba inasimama kwa tofari hizo, vyumba 3, kimoja wapo kikiwa self, jiko, sebule kubwa kukidhi pia meza ya chakula na choo, ninavyo vibanda kama hivyo vitano hapa mjini
ameamua kuonyesha tu uzoefu wake ktk masuala ya ujenzi kwan amefanya vibaya?,au wewe imekuumaUmeulizwa na nani humu Jf mpaka utuambie unavibanda vitano acha kierehere wewe...!!
3ßßßsßseHii ndio ramani? Umeambiwa ramani bhana acha kujifanya huelewi...
sasa binamu nami nisaidie kujua gharama za ujengaji wa nyumba vyumba 3 sebule, master, choo, jiko, yaani kiwanja kina mita 15x18hapana nina kauzoefu kidogo kwenye hayo mambo...
kiongozi hiyo nyumba inasimama kwa tofari hizo, vyumba 3, kimoja wapo kikiwa self, jiko, sebule kubwa kukidhi pia meza ya chakula na choo, ninavyo vibanda kama hivyo vitano hapa mjini
Mimi ni qs akitaka kusaidiwa alete drawings cwez kumsaidia kwa kubuniUna ramani? Okay, fanya hivi.
Standard wise, square metre moja ya ukuta hujengwa kwa tofari 9 zikisimama, au 12 zikilazwa. (450*230*150mm block)
Chukua length*height of your wall, for all the walls of your house to get the total square metres of the walls. Then deduct the total square metres of openings. ie windows and doors.
Then multiply the remaining square metres of walls by the number of blocks per square metre, to get the total number of blocks for your house.
If that doesnt help, mtafute Qs.
Kujua ghalama hiz inahitajka michoro ya nyumba husika ndio utapata exactly ...Mimi ni qssasa binamu nami nisaidie kujua gharama za ujengaji wa nyumba vyumba 3 sebule, master, choo, jiko, yaani kiwanja kina mita 15x18