Mchanganuo wa kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule

sasa binamu nami nisaidie kujua gharama za ujengaji wa nyumba vyumba 3 sebule, master, choo, jiko, yaani kiwanja kina mita 15x18
binamu mpaka kupaua au...?
nione inbox please, weka maswali yako yote
 
binamu mpaka kupaua au...?
nione inbox please, weka maswali yako yote
Ingekuwa mambo ndiyo yanaenda hivi basi JF ingeshakufa, wekeni mambo hadharani wengine wajifunze pia
 
Hii post imekuwa mkombozi kwangu, yaani imerahisisha maisha hususani design ya nyumba za kitanzania.Asante sana mwanabodi
 
Shukuru MUNGU wewe unaweza, sidhani kama alipenda awe too shallow like that.

Mijitu mingine hata kujielezea unashindwa.. Hebu kuwa na akili na uelezeee vizuri.. Utasaidiwaje iwapp hujiewi wewe mwenyewe... Mfyuuuuuuuu
 
Wana JF, natumai mko vizuri.

Naomba mwenye uzoefu na ujenzi anisaidie. Nitahitaji matofali mangapi ya sementi (BLOCK) ili kujenga nyumba hii hadi boma kuisha. Naomba kuwasilisha, KARIBU.
Tafuta fundi hapo mtaani fanya nao mahojiano kwa mafundi Wawili au Watatu tofauti waambie nataka makadirio ya ujenzi wa nyumba vyumba vitatu wape na sifa zingine. Mafundi ndiyo wanajua zaidi field kukoje hata kama utaenda kwa QS au ARCHTECTURE mwisho wa siku lazima atatafutwa fundi tuu (Tena kuna local fundi wametoa vitu vikali huwezi amini). Hakikisha unapata Mafundi waaminifu (unapopita hata Mtaani utaona wanajenga_chukua contact mfanye mambo). Humu watu watakupa ushauri kama ule wa kulima Matikiti kwa ekali unatoka na matikiti 2000 kila tikiki utauza kati ya 6000-8000 hahahaha!
 
Wana JF, natumai mko vizuri.

Naomba mwenye uzoefu na ujenzi anisaidie. Nitahitaji matofali mangapi ya sementi (BLOCK) ili kujenga nyumba hii hadi boma kuisha. Naomba kuwasilisha, KARIBU.
Nyumba ni ramani yenye vipimo sasa hesabu zitafanyikaje kama hakuna ramani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…