Mchanganuo wa michango iliyokusanywa na CHADEMA ili kuwalipia faini viongozi wao

Mchanganuo wa michango iliyokusanywa na CHADEMA ili kuwalipia faini viongozi wao

Status
Not open for further replies.

esther mashiker

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
616
Reaction score
552
MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.

1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=

Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=

Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,

Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.

Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=

Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.

La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,

Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai

=====

UPDATES:

1584707908000.png
 
Sasa hata propaganda mnashindwa kutafuta watu wenye akili mnatafuta mbulula wasiojua hata kupangilia upuuzi.

Hii itasaidiaje kuondoa ushamba uliooneshwa na genge la wakoloni weusi wakiongozwa na PolePole?

CCM imeshikwa na vilazabsiku hizi. No brain, no strategy, no vision. Ni mabavu tu na ulofa mwingine tusiouzowea CCM.

Mtaona aibu nyingi mno kabla ya October. Jongoo la.shamba....
 
_*MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.*_

_1.Rais Magufuli. *38,000,000/=*_
_2.Watanzania. *30,000,000/=*_
_3.Ndugu wa Mch. Msigwa. *2,000,000/*=_
_4.Hamphrei Polepole. *30,000,000/=*_
_5.Mkopo(Precision Air Tz) *250,000,000/=*_

_*Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=*_

_Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh._ _*30,000,000/*= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,_
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. *250,000,000/*=lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob( Meya wa_ _Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha *Tsh 250,000,000/*=kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020._

_Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha *Tsh. 250,000,000/*=_

_Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa._

_La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,_

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Wajinga wajinga kama ninyi ndio mnakitukanisha chama chetu cha Mapinduzi.

Very bogus propaganda!
 
Wao ndio waliokusanya hizo pesa na ndio waliotoa data za michango kama unavyosema kuwa ni 340, 000, 000/= sasa naona ingekuwa busara na wewe uweke ushahidi wako usiosaka ku-nullify huo uwongo wao. Mfano tuletee risit ama hayo makubaliano ya mkopo au majina ya michango ambayo jumla italeta 30 M badala ya 340 M, Vinginevyo wewe ndio utaonekana unapiga porojo na siasa nyepesi.
_*MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.*_

_1.Rais Magufuli. *38,000,000/=*_
_2.Watanzania. *30,000,000/=*_
_3.Ndugu wa Mch. Msigwa. *2,000,000/*=_
_4.Hamphrei Polepole. *30,000,000/=*_
_5.Mkopo(Precision Air Tz) *250,000,000/=*_

_*Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=*_

_Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh._ _*30,000,000/*= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,_
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. *250,000,000/*=lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob( Meya wa_ _Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha *Tsh 250,000,000/*=kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020._

_Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha *Tsh. 250,000,000/*=_

_Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa._

_La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,_

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa napata jibu kwanini Jiwe anawamini watu kutoka Upinzani au kulazimika kuvitumia vyombo vya Dola ktk shughuli za chama kuliko walio ndani ya chama chake. Kama kweli nawe ni mwanaccm basi Jiwe ana haki ya kuwaambia MNAWASHWA WASHWA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm yangu hii sio ile ya kina kinana jamani propaganda za kitoto hizi da tumekosea tuiname tujistiri tuendelee na utalatibu mwingine imefika kipindi nachukia hii ccm ya sasa jamani hivi hakuna wenye akili wailudishe ccm yetu ya zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga wajinga kama ninyi ndio mnakitukanisha chama chetu cha Mapinduzi.

Very bogus propaganda!
Huyu ni mfanya usafi chooni kijitonyama ambaye ametumika mara kadhaa , akiendelea na uchafu wake iwe kwa kulindwa na Moderator au la , NITAMUANIKA KWA MAJINA YAKE YOTE MATATU BILA HURUMA YOYOTE

Liwalo na Liwe .
 
Uzi huu ni hujuma ya kibiashara kwa kampuni ya Precision Air. Hivi CCM siasa imewashinda hadi mnaingia kwenye kampeni za kibiashara kuhujumu kampuni ya Kitanzania iliyosajiliwa Tanzania na kufanya biashara zake kihalali. Hakika CCM siyo chama cha siasa tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mfanya usafi chooni kijitonyama ambaye ametumika mara kadhaa , akiendelea na uchafu wake iwe kwa kulindwa na Moderator au la , NITAMUANIKA KWA MAJINA YAKE YOTE MATATU BILA HURUMA YOYOTE

Liwalo na Liwe .
Kitengo chetu cha uenezi na Propaganda kimelegea kabisa!

Tunategemea serikali zaidi ya KUJITEGEMEA kama chama cha siasa!

Jitu linatoka huko na kukurupuka kuongea mambo ya ajabu yanayokidhalilisha chama ili mradi tu awe spotted na viongozi wa kitaifa ili sijui apate teuzi?!


Ninyi CHADEMA mna mapungufu mengi tu ambayo sisi kama chama tawala cha kisiasa tulipaswa kutumia ukomavu wetu na ukongwe wetu kuwagalagaza kwa hoja na kipropaganda.


Lakini siku hizi hatuna watu wa namna hii. Wapo wanaojibu kama serikali na sio kama chama cha kisiasa!

Hii inaudhi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom