Mchanganuo wa michango iliyokusanywa na CHADEMA ili kuwalipia faini viongozi wao

Mchanganuo wa michango iliyokusanywa na CHADEMA ili kuwalipia faini viongozi wao

Status
Not open for further replies.
_*MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.*_

_1.Rais Magufuli. *38,000,000/=*_
_2.Watanzania. *30,000,000/=*_
_3.Ndugu wa Mch. Msigwa. *2,000,000/*=_
_4.Hamphrei Polepole. *30,000,000/=*_
_5.Mkopo(Precision Air Tz) *250,000,000/=*_

_*Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=*_

_Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh._ _*30,000,000/*= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,_
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. *250,000,000/*=lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob( Meya wa_ _Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha *Tsh 250,000,000/*=kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020._

_Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha *Tsh. 250,000,000/*=_

_Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa._

_La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,_

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
mmeishiwa hamna jipya poleni chadema inasonga mbele
 
_*MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.*_

_1.Rais Magufuli. *38,000,000/=*_
_2.Watanzania. *30,000,000/=*_
_3.Ndugu wa Mch. Msigwa. *2,000,000/*=_
_4.Hamphrei Polepole. *30,000,000/=*_
_5.Mkopo(Precision Air Tz) *250,000,000/=*_

_*Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=*_

_Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh._ _*30,000,000/*= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,_
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. *250,000,000/*=lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob( Meya wa_ _Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha *Tsh 250,000,000/*=kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020._

_Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha *Tsh. 250,000,000/*=_

_Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa._

_La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,_

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Nimepata tena sababu ya kupanda Precision Air
 
_*MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.*_

_1.Rais Magufuli. *38,000,000/=*_
_2.Watanzania. *30,000,000/=*_
_3.Ndugu wa Mch. Msigwa. *2,000,000/*=_
_4.Hamphrei Polepole. *30,000,000/=*_
_5.Mkopo(Precision Air Tz) *250,000,000/=*_

_*Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=*_

_Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh._ _*30,000,000/*= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,_
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. *250,000,000/*=lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob( Meya wa_ _Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha *Tsh 250,000,000/*=kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020._

_Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha *Tsh. 250,000,000/*=_

_Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa._

_La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,_

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Afya ya Akili imeyumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
_*MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.*_

_1.Rais Magufuli. *38,000,000/=*_
_2.Watanzania. *30,000,000/=*_
_3.Ndugu wa Mch. Msigwa. *2,000,000/*=_
_4.Hamphrei Polepole. *30,000,000/=*_
_5.Mkopo(Precision Air Tz) *250,000,000/=*_

_*Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=*_

_Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh._ _*30,000,000/*= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,_
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. *250,000,000/*=lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob( Meya wa_ _Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha *Tsh 250,000,000/*=kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020._

_Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha *Tsh. 250,000,000/*=_

_Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa._

_La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,_

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Hii ya Leo itakuwa buku saba...umeifanyia kazi...ila kwa kifupi,UMECHEMKA NA KUTOKOTA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua jina la kampuni ya ndege iliyombeba Lissu kutoka Dodoma mpaka Nairobi!Isije ikawa Kuna zengwe limeanza kuundwa maana ........!!!
 
Sasa hata propaganda mnashindwa kutafuta watu wenye akili mnatafuta mbulula wasiojua hata kupangilia upuuzi.

Hii itasaidiaje kuondoa ushamba uliooneshwa na genge la wakoloni weusi wakiongozwa na PolePole?

CCM imeshikwa na vilazabsiku hizi. No brain, no strategy, no vision. Ni mabavu tu na ulofa mwingine tusiouzowea CCM.

Mtaona aibu nyingi mno kabla ya October. Jongoo la.shamba....
jibu hoja siyo kubwabwaja tu! Maana sioni mantiki ya ulichoandika hapo zaidi ya kujionyesha hamnazo!
 
_*MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.*_

_1.Rais Magufuli. *38,000,000/=*_
_2.Watanzania. *30,000,000/=*_
_3.Ndugu wa Mch. Msigwa. *2,000,000/*=_
_4.Hamphrei Polepole. *30,000,000/=*_
_5.Mkopo(Precision Air Tz) *250,000,000/=*_

_*Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=*_

_Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh._ _*30,000,000/*= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,_
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. *250,000,000/*=lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob( Meya wa_ _Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha *Tsh 250,000,000/*=kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020._

_Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha *Tsh. 250,000,000/*=_

_Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa._

_La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,_

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
TAMAA YA TUMBO HAITAKIWI KUIZIDI AKILI YAKO. HATA MSEME NINI HAMUWEZI KUTUVUNJA MIOYO, TUME HURU SASA 2020.
 
MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.

1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=

Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=

Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,

Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.

Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=

Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.

La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,

Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Wewe nawe unaweza kuwa ni wale wenye ujinga wa kudumu. Kasome taarifa ya Precesion Air ili uweze kuitambua nafasi yako ya ujinga ni ipi.

Precision wamekanusha up.umbavu uliouandika hapa kwa Press Maalum.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom