Mchanganuo wa michango iliyokusanywa na CHADEMA ili kuwalipia faini viongozi wao

Mchanganuo wa michango iliyokusanywa na CHADEMA ili kuwalipia faini viongozi wao

Status
Not open for further replies.
aya mbili za nwisho zimethibitisha udhaifu wa vyanzo vya taarifa vya nwandishi.

ilitakiwa mwandishi mwenyewe aoneshe majina na michanganuo iwekwe hapa hapa kujiridhisha.

pia machangizo ya umma ikihusisha chenji za 200 na 500 na 1,000 na 5,000 hadi 10,000 huwezi kupata 30,000,000 flat bila chenji chenji. tutumie akili kung'amua.

kuitaja kampuni yenye biashara kubwa ya kusafirisha abiria wasio na mrengo mmoja ni kuihujumu na kuiweka kwenye wakati mgumu. yaweza kukimbiwa na wateja wenye itikadi fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nimwanaume harafu unajifanya mwanamke !!!pole

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko CCM wengi wa wanaume ni dizaini hii, huyu tayari wameshamtia mimba
Screenshot_20200320-084223.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.

1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=

Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=

Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,

Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.

Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=

Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.

La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,

Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Wasukuma mnahangaika kutetea ,kulinda na kuupamba utawala kandamizi. Hakuna marefu yasiyo na Ncha.
 
Yajayo yanafurahisha, Je ! uko tayari?

Chadema, kazi nikwako.
 
Hii kwel kabisa jamaa walikopa kabla ya kwenda uko kote walienda Victoria oil com ngoma ikadunda
MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.

1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=

Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=

Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,

Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.

Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=

Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.

La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,

Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitengo chetu cha uenezi na Propaganda kimelegea kabisa!

Tunategemea serikali zaidi ya KUJITEGEMEA kama chama cha siasa!

Jitu linatoka huko na kukurupuka kuongea mambo ya ajabu yanayokidhalilisha chama ili mradi tu awe spotted na viongozi wa kitaifa ili sijui apate teuzi?!


Ninyi CHADEMA mna mapungufu mengi tu ambayo sisi kama chama tawala cha kisiasa tulipaswa kutumia ukomavu wetu na ukongwe wetu kuwagalagaza kwa hoja na kipropaganda.


Lakini siku hizi hatuna watu wa namna hii. Wapo wanaojibu kama serikali na sio kama chama cha kisiasa!

Hii inaudhi.
Sasa na wewe ulishawi kuona wapi Bibi kikongwe akamgalagaza kijana wa chini ya umri wa miaka 35 ??
 
Uzi huu ni hujuma ya kibiashara kwa kampuni ya Precision Air. Hivi CCM siasa imewashinda hadi mnaingia kwenye kampeni za kibiashara kuhujumu kampuni ya Kitanzania iliyosajiliwa Tanzania na kufanya biashara zake kihalali. Hakika CCM siyo chama cha siasa tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usishangae kesho tukasikia precision air ilikuwa hajasajiriwa hapa nchini
 
CHADEMA njooni huku kanusheni hizi habari kama ni kweli au propaganda na wivu za CCM. Precision Air ongeeni pia maana mwatajwa kufanya biashara.
Hiyo Kampuni yenyewe inapumulia mashine, watoe wapi 250m ? hata 10m hawawezi
 
MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.

1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=

Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=

Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,

Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.

Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=

Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.

La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,

Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Huu mwandiko ni mtu aliyetoka kutoa mimba...Pole sana ....
 
MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.

1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=

Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=

Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,

Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.

Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=

Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.

La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,

Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Soon utakamatwa jiandae kulipa mamilioni ya pesa kwa sababu ya ujinga wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.

1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=

Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=

Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,

Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.

Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=

Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.

La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,

C&P

Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.

Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,

Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Nyie ccm mpya nyie Cheki mnavyojidhalilisha na kukizalilisha chama chetu ccm
 
Huyu angekuwa na akili ndogo hata kama ya sisimizi tu angejua wakati huu wa mtukufu hakuna shirika la ndege au lolote linaweza kujiingiza kwenye mchezo huu iwe kwa faida au bila faida. Mtu pekee ambaye angeweza kumshirikisha na kufanikiwa huu upumbav ni yule aliyekwenda kumsubili Mch. Msigwa nje ya mahakama na motokaa za sirikali na makamera.
 
Watanzania 30,000,000

Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000

Sasa leta tofauti kati ya watanzania vs Ndg wa mch. Msigwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom