Mchanganuo wa michango iliyokusanywa na CHADEMA ili kuwalipia faini viongozi wao

Status
Not open for further replies.
mmeishiwa hamna jipya poleni chadema inasonga mbele
 
Nimepata tena sababu ya kupanda Precision Air
 
Afya ya Akili imeyumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ya Leo itakuwa buku saba...umeifanyia kazi...ila kwa kifupi,UMECHEMKA NA KUTOKOTA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua jina la kampuni ya ndege iliyombeba Lissu kutoka Dodoma mpaka Nairobi!Isije ikawa Kuna zengwe limeanza kuundwa maana ........!!!
 
jibu hoja siyo kubwabwaja tu! Maana sioni mantiki ya ulichoandika hapo zaidi ya kujionyesha hamnazo!
 
TAMAA YA TUMBO HAITAKIWI KUIZIDI AKILI YAKO. HATA MSEME NINI HAMUWEZI KUTUVUNJA MIOYO, TUME HURU SASA 2020.
 
Wewe nawe unaweza kuwa ni wale wenye ujinga wa kudumu. Kasome taarifa ya Precesion Air ili uweze kuitambua nafasi yako ya ujinga ni ipi.

Precision wamekanusha up.umbavu uliouandika hapa kwa Press Maalum.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…