robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Huko CCM wengi wa wanaume ni dizaini hii, huyu tayari wameshamtia mimba
Kama wewe utasema unajitambua, ilhali umebakishiwa akili za kulengea shimo la choo tu?Chadema wanaweza kuwadanganya wanachama wao tu lakini si watz waliojitambua!
Wasukuma mnahangaika kutetea ,kulinda na kuupamba utawala kandamizi. Hakuna marefu yasiyo na Ncha.MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.
1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=
Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=
Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.
Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=
Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.
La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,
C&P
Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.
Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.
1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=
Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=
Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.
Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=
Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.
La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,
C&P
Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.
Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Sasa na wewe ulishawi kuona wapi Bibi kikongwe akamgalagaza kijana wa chini ya umri wa miaka 35 ??Kitengo chetu cha uenezi na Propaganda kimelegea kabisa!
Tunategemea serikali zaidi ya KUJITEGEMEA kama chama cha siasa!
Jitu linatoka huko na kukurupuka kuongea mambo ya ajabu yanayokidhalilisha chama ili mradi tu awe spotted na viongozi wa kitaifa ili sijui apate teuzi?!
Ninyi CHADEMA mna mapungufu mengi tu ambayo sisi kama chama tawala cha kisiasa tulipaswa kutumia ukomavu wetu na ukongwe wetu kuwagalagaza kwa hoja na kipropaganda.
Lakini siku hizi hatuna watu wa namna hii. Wapo wanaojibu kama serikali na sio kama chama cha kisiasa!
Hii inaudhi.
Usishangae kesho tukasikia precision air ilikuwa hajasajiriwa hapa nchiniUzi huu ni hujuma ya kibiashara kwa kampuni ya Precision Air. Hivi CCM siasa imewashinda hadi mnaingia kwenye kampeni za kibiashara kuhujumu kampuni ya Kitanzania iliyosajiliwa Tanzania na kufanya biashara zake kihalali. Hakika CCM siyo chama cha siasa tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia tena uzi huu! hii itakuwa imekupa-alertCHADEMA njooni huku kanusheni hizi habari kama ni kweli au propaganda na wivu za CCM. Precision Air ongeeni pia maana mwatajwa kufanya biashara.
Hiyo Kampuni yenyewe inapumulia mashine, watoe wapi 250m ? hata 10m hawaweziCHADEMA njooni huku kanusheni hizi habari kama ni kweli au propaganda na wivu za CCM. Precision Air ongeeni pia maana mwatajwa kufanya biashara.
Una ushahidi wa aina yoyote ?Hii kwel kabisa jamaa walikopa kabla ya kwenda uko kote walienda Victoria oil com ngoma ikadunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mwandiko ni mtu aliyetoka kutoa mimba...Pole sana ....MCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.
1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=
Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=
Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.
Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=
Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.
La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,
C&P
Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.
Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
Hii kwel kabisa jamaa walikopa kabla ya kwenda uko kote walienda Victoria oil com ngoma ikadunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Soon utakamatwa jiandae kulipa mamilioni ya pesa kwa sababu ya ujinga wakoMCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.
1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=
Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=
Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.
Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=
Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.
La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,
C&P
Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.
Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai
CCM watachota hazina wamlipie.Soon utakamatwa jiandae kulipa mamilioni ya pesa kwa sababu ya ujinga wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ccm mpya nyie Cheki mnavyojidhalilisha na kukizalilisha chama chetu ccmMCHANGANUO WA MICHANGO ILIYOKUSANYWA NA CHADEMA ILI KUWALIPIA FAINI VIONGOZI WAO.
1. Rais Magufuli 38,000,000/=
2. Watanzania 30,000,000/=
3. Ndugu wa Mch. Msigwa 2,000,000/=
4. Hamphrei Polepole 30,000,000/=
5. Mkopo (Precision Air Tanzania) 250,000,000/=
Jumla ya Michango yote ni 350,000,000/=
Ndugu Watanzania kama mnavyofahamu kwamba Chadema ilikusanya Tsh. 30,000,000/= kutoka kwa wananchi ambayo isingetosha kuwatoa Viongozi wao,
Na baada ya kuona michango haitoshi walimtuma Godbless Lema kwenda kukopa kwa Mo Dewji kiasi cha Tsh. 250,000,000/= lakini kwa bahati mbaya Mo Dewji hakuwapa ushirikiano ndipo walipoamua kumtuma Bonifas Jacob (Meya wa Ubungo) Kwenda kwenye Kampuni ya Precision Air Tanzania na baada ya mdajdala mkali Pecision Air Tanzania walitoa mashariti ya kuwakopesha Tsh 250,000,000/= kwa riba ya asilimia 20 (20%) na mkopo huu utalipwa kutoka kwenye pesa za Wabunge watakazolipwa kama Kiinua mgongo mara tu bunge litakapovunjwa 30/06/2020.
Ndugu Watanzania, niwaombe Chadema wasiendelee kumchafua Mo Dewji na kumsimanga kwamba walimsaidia kipindi amerejea, eti kwa sababu hakutoa mchango na hakuwakopesha kiasi hicho cha Tsh. 250,000,000/=
Pia Watanzania Wenzangu niwaombe Chadema kwa umoja wao wamshukuru Rais Magufuli kwa upendo mkubwa alioonyesha kwa nduguye Mch. Piter Msingwa.
La Mwisho niwaombe Chadema waache siasa za kitoto, maigizo na ngonjera badaala yake wajenge hoja na sio kutegemea Huruma ya Watanzania,
C&P
Ninalaani vikali kitendo cha Chadema kuwahadaa watanzania kwamba wamekusanya kiasi cha milioni 334,000,000/= bila kusema wamekopa pesa kwenye makampuni.
Pia niwaombe Chadema waweke hadharani majina na namba za simu za waliochangia ili kuondoa sintofahamu hii na uongo uliokithiri kwani kuwadanganya ni jambo hatari,
Mwisho nisisitize kwamba michango iliyochangwa na Watanzania ni Tsh. 30,000,000/= tu na sio hizo 334,000,000/= kama wavyodai