Mchanganyiko katika maisha haya ya ndoa

Mchanganyiko katika maisha haya ya ndoa

Isiwe sababu yakupangana nyumba za watu
Haka kadada ni kachoyo

Kanataka kammiliki Mume wake kama mtu anavyomiliki shamba

Hapendi ndugu wa Mume

Kana tabia ya kumpanda mtu kichwani, sio kichwa Cha chini bali Cha juu.

Swali langu nakauliza kameolewa?
Kama Bado hii fantasy yake kichwani aiondoe mapema bila hivyo itakuja kumtesa
 
Haka kadada ni kachoyo

Kanataka kammiliki Mume wake kama mtu anavyomiliki shamba

Hapendi ndugu wa Mume

Kana tabia ya kumpanda mtu kichwani, sio kichwa Cha chini bali Cha juu.

Swali langu nakauliza kameolewa?
Kama Bado hii fantasy yake kichwani aiondoe mapema bila hivyo itakuja kumtesa
Haka so mie nikakitu sio mtu mxiuu .

Mtu akiowa ameoa acheni usumbufu mnajazana kama siafu humo ndani na harusi imeshaisha ?
 
Haka so mie nikakitu sio mtu mxiuu .

Mtu akiowa ameoa acheni usumbufu mnajazana kama siafu humo ndani na harusi imeshaisha ?
Sasa wanaojazana ni ndugu wa Mume ila tundugu twako tukija unachekelea tumeno twote 32.

Wewe umeolewa?
Ukiolewa ujue umepelekwa kwenye Koo na jamii nyingine na lazima ufuate taratibu na tamaduni zao.

Ila kwa roho hii ndio maana ulikuwa unalalamika njemba zikihadisiana issue zako na wewe hauuuzi
 
Haka so mie nikakitu sio mtu mxiuu .

Mtu akiowa ameoa acheni usumbufu mnajazana kama siafu humo ndani na harusi imeshaisha ?
Hivi ni ndugu wa mume tu ambao huwa wanakuja kwa wanandoa? Mimi hata waje ndugu wa mke au wangu sioni tatizo kwanza watu utakuta wanapita tu kwa nini iwe tabu? Labda sababu tumezoea kuishi wengi vijijini.
 
Hivi ni ndugu wa mume tu ambao huwa wanakuja kwa wanandoa? Mimi hata waje ndugu wa mke au wangu sioni tatizo kwanza watu utakuta wanapita tu kwa nini iwe tabu? Labda sababu tumezoea kuishi wengi vijijini.
Sio kila siku kila ijumaa kaja mtu Tena wa upande wamume ni ngumu upande wamwanamke kuja according to me .

Sio kila familia utajikuta na dhiki ,
Pale unapoenda kuoa ni vitu tu baadhi hawana ila asilimia kubwa kila mtu anajiweza
 
Sasa wanaojazana ni ndugu wa Mume ila tundugu twako tukija unachekelea tumeno twote 32.

Wewe umeolewa?
Ukiolewa ujue umepelekwa kwenye Koo na jamii nyingine na lazima ufuate taratibu na tamaduni zao.

Ila kwa roho hii ndio maana ulikuwa unalalamika njemba zikihadisiana issue zako na wewe hauuuzi
Sawa ila wangu wanaakili hawawezi kuja kabisa kwangu hata wakitaka kutoona wanasubiria tupo mjini watutoe out umeelewa .

Sura kama kimbola
 
Katika maisha hasa ya ndoa mambo Mengi hutokea...Kama kupishana maneno , kutofautiana kifamilia Kwa mke na mume ila yote ni maisha Mtu anayapitia .

Ili mtu Aishi Kwa Raha lazima aweje?? Kwa maana mtu ambaye amezoea kudekezwa kweli hajazoea visa vya mama mkwe . Na mengineyo kama ndugu wa bwana hii mnamshaurije?? Maana unawapokea Kwa Raha Tena watakuja siku za ijumamosi na ijumapili.

Ambapo mnatulia mpate hata kanyama choma mnasikia hodi??
Kwa waliooa au walioana hii mnaichukuliaje humu wapo ndugu wa Mume nyie mnajisikiaje kuja Kwa mtu kila weekend hadi inaboa .

Sio hamtakiwi but punguzeni hodi . Wapenzi watu hata waweke watoto ndio maana watu wanaoana .
Hii ni keroo. Kuna hii jingine mwanadada kaolewa halafu Hana heshima na ndoa yake . Humjibu mume vibaya huona amefika na Hana usaidizi wowote mwanaume akipunguza attention ni maneno maneno.

Jingine mwanaume Hana shukurani anakuta wife amefanya usafi wote , kampikia chakula apendacho na nikitamu ila yeye Hana shukurani . Hana heshima anamwita mke wake maneno ya ajabu wewe Malaya , kwanz animekutoa bar, sijui unawanaume wangapi Leo nilipotoka umeliwa nawangapi hadi kero. Halafu anapiga kelele watu wote wanamsikia .

Watu wengi wamechoka na maisha ila wanaume wahawachoki kunawanaume hawana misimamo hawajijui wanapenda Nini??? Nawao hawaoni mbele Yao Kuna Nini hawajajenga na Wala hawana nyumba Wala hawajui kwanini wanafanya kazi kila kitu kwao ni miujiza .

Maisha ya ndoa ni magumu kama huna uzoefu nao unahitaji moyo nakumchagua wakufa naye nayo nikazi .

Mtu mnaanza fresh mbeleni ni mlevii . Kingine mtu alikuwa mnavumiliana mambo mengi na mkoo poa baada ya Muda anaanza vipigio ukiangalia hakuna ulilomkosea. Au kusema Mimi nimechoka na nindoa takatifu .

Maisha ya ndoa ni magumu. Kwa maana Mtu hajapikiwa tambi tu usiku anakunyima unyumba miezi mitatu .Mwingine na mmeoana eti tupumzike tu kama wiki tutaona .

Mtu kupewa unyumba ni haki yake ila hata kulala kitandani kwake nope . Au anaambiwa nimechoka . So hawezi kupewa akitoka nje anawekwa vikao nananyimwa haki yake kila siku kapewa tu siku ndoa ...

Kuna mengi kwenye hizi ndoa kabisa .Sijui nanyie mjazilishie?? Maana mtu kuishi na mtoto wa mtu kerooo
Wengi elimu ya ndoa, mume ni nani na mke ni nani na wanapaswa kuishi katika furaha na hudhuni, namna ya kuishi na ndugu wa aina zote, majirani, etc ni changamoto mimi kuoa hapana sitaki kabisa acha niendelee na episodes maana mbususu zipo kwa ajili, "Nafsi yasema enyi warembo wazuri wenye mbususu mnato na chuchuz njoo kwangu kwa maana ufunguo wenu wa raha na furaha ninao mimi na upo ghetto" Mungu awabariki sana, Ameen!!
 
Kama ulimpenda na ukafikia hatua ya kukubali kuishi nae uwe na uvumilivu, acha vinyongo na ndugu, unyumba ni jukumu kutoa kwa mumeo, mjali kwa kumpikia chakula kizuri huto sikia mume analewa wala kukupiga. Wanawake acheni tabia za kutaka 50/50 hiki ndo chanzo cha kuvunja ndoa.
 
Haya maisha ya ndoa mtu asikudanganye, jinsi ambavyo anavumilia kwake, haiwezi kufanana na kwako. Halafu kama umeona ndoa inakuwa chungu si uondoke. Acha kuvumilia ujinga.
 
Wengi elimu ya ndoa, mume ni nani na mke ni nani na wanapaswa kuishi katika furaha na hudhuni, namna ya kuishi na ndugu wa aina zote, majirani, etc ni changamoto mimi kuoa hapana sitaki kabisa acha niendelee na episodes maana mbususu zipo kwa ajili, "Nafsi yasema enyi warembo wazuri wenye mbususu mnato na chuchuz njoo kwangu kwa maana ufunguo wenu wa raha na furaha ninao mimi na upo ghetto" Mungu awabariki sana, Ameen!!
Ni kweli ila kuoa ni muhimu .
Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi mtumishi .
 
Wengi elimu ya ndoa, mume ni nani na mke ni nani na wanapaswa kuishi katika furaha na hudhuni, namna ya kuishi na ndugu wa aina zote, majirani, etc ni changamoto mimi kuoa hapana sitaki kabisa acha niendelee na episodes maana mbususu zipo kwa ajili, "Nafsi yasema enyi warembo wazuri wenye mbususu mnato na chuchuz njoo kwangu kwa maana ufunguo wenu wa raha na furaha ninao mimi na upo ghetto" Mungu awabariki sana, Ameen!!
😂😂😂😂Looh
 
Back
Top Bottom