Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea kafanya Nini ila sio vizuri kumkaripia mwenzio wako awe mwanaume au mwanamke maana ndio mpo wote hadi kifo kiwatenganisheHata mkiwa wawili kurise voice mbele ya mwanaume wako ni hatar sana.
SijaelewaPoleni sana, hayanaga muongozo...
Isiwe sababu yakupangana nyumba za watuHuwez kujua kipenz huenda kunandugu zake walijinyima Kwa mambo mengi Kwa ajili yake japo ikizid ni kero lkn ndo familia zetu za kitanzania hakuna namna
Haka kadada ni kachoyoIsiwe sababu yakupangana nyumba za watu
Haka so mie nikakitu sio mtu mxiuu .Haka kadada ni kachoyo
Kanataka kammiliki Mume wake kama mtu anavyomiliki shamba
Hapendi ndugu wa Mume
Kana tabia ya kumpanda mtu kichwani, sio kichwa Cha chini bali Cha juu.
Swali langu nakauliza kameolewa?
Kama Bado hii fantasy yake kichwani aiondoe mapema bila hivyo itakuja kumtesa
Sasa wanaojazana ni ndugu wa Mume ila tundugu twako tukija unachekelea tumeno twote 32.Haka so mie nikakitu sio mtu mxiuu .
Mtu akiowa ameoa acheni usumbufu mnajazana kama siafu humo ndani na harusi imeshaisha ?
Hivi ni ndugu wa mume tu ambao huwa wanakuja kwa wanandoa? Mimi hata waje ndugu wa mke au wangu sioni tatizo kwanza watu utakuta wanapita tu kwa nini iwe tabu? Labda sababu tumezoea kuishi wengi vijijini.Haka so mie nikakitu sio mtu mxiuu .
Mtu akiowa ameoa acheni usumbufu mnajazana kama siafu humo ndani na harusi imeshaisha ?
Sio kila siku kila ijumaa kaja mtu Tena wa upande wamume ni ngumu upande wamwanamke kuja according to me .Hivi ni ndugu wa mume tu ambao huwa wanakuja kwa wanandoa? Mimi hata waje ndugu wa mke au wangu sioni tatizo kwanza watu utakuta wanapita tu kwa nini iwe tabu? Labda sababu tumezoea kuishi wengi vijijini.
Sawa ila wangu wanaakili hawawezi kuja kabisa kwangu hata wakitaka kutoona wanasubiria tupo mjini watutoe out umeelewa .Sasa wanaojazana ni ndugu wa Mume ila tundugu twako tukija unachekelea tumeno twote 32.
Wewe umeolewa?
Ukiolewa ujue umepelekwa kwenye Koo na jamii nyingine na lazima ufuate taratibu na tamaduni zao.
Ila kwa roho hii ndio maana ulikuwa unalalamika njemba zikihadisiana issue zako na wewe hauuuzi
Wengi elimu ya ndoa, mume ni nani na mke ni nani na wanapaswa kuishi katika furaha na hudhuni, namna ya kuishi na ndugu wa aina zote, majirani, etc ni changamoto mimi kuoa hapana sitaki kabisa acha niendelee na episodes maana mbususu zipo kwa ajili, "Nafsi yasema enyi warembo wazuri wenye mbususu mnato na chuchuz njoo kwangu kwa maana ufunguo wenu wa raha na furaha ninao mimi na upo ghetto" Mungu awabariki sana, Ameen!!Katika maisha hasa ya ndoa mambo Mengi hutokea...Kama kupishana maneno , kutofautiana kifamilia Kwa mke na mume ila yote ni maisha Mtu anayapitia .
Ili mtu Aishi Kwa Raha lazima aweje?? Kwa maana mtu ambaye amezoea kudekezwa kweli hajazoea visa vya mama mkwe . Na mengineyo kama ndugu wa bwana hii mnamshaurije?? Maana unawapokea Kwa Raha Tena watakuja siku za ijumamosi na ijumapili.
Ambapo mnatulia mpate hata kanyama choma mnasikia hodi??
Kwa waliooa au walioana hii mnaichukuliaje humu wapo ndugu wa Mume nyie mnajisikiaje kuja Kwa mtu kila weekend hadi inaboa .
Sio hamtakiwi but punguzeni hodi . Wapenzi watu hata waweke watoto ndio maana watu wanaoana .
Hii ni keroo. Kuna hii jingine mwanadada kaolewa halafu Hana heshima na ndoa yake . Humjibu mume vibaya huona amefika na Hana usaidizi wowote mwanaume akipunguza attention ni maneno maneno.
Jingine mwanaume Hana shukurani anakuta wife amefanya usafi wote , kampikia chakula apendacho na nikitamu ila yeye Hana shukurani . Hana heshima anamwita mke wake maneno ya ajabu wewe Malaya , kwanz animekutoa bar, sijui unawanaume wangapi Leo nilipotoka umeliwa nawangapi hadi kero. Halafu anapiga kelele watu wote wanamsikia .
Watu wengi wamechoka na maisha ila wanaume wahawachoki kunawanaume hawana misimamo hawajijui wanapenda Nini??? Nawao hawaoni mbele Yao Kuna Nini hawajajenga na Wala hawana nyumba Wala hawajui kwanini wanafanya kazi kila kitu kwao ni miujiza .
Maisha ya ndoa ni magumu kama huna uzoefu nao unahitaji moyo nakumchagua wakufa naye nayo nikazi .
Mtu mnaanza fresh mbeleni ni mlevii . Kingine mtu alikuwa mnavumiliana mambo mengi na mkoo poa baada ya Muda anaanza vipigio ukiangalia hakuna ulilomkosea. Au kusema Mimi nimechoka na nindoa takatifu .
Maisha ya ndoa ni magumu. Kwa maana Mtu hajapikiwa tambi tu usiku anakunyima unyumba miezi mitatu .Mwingine na mmeoana eti tupumzike tu kama wiki tutaona .
Mtu kupewa unyumba ni haki yake ila hata kulala kitandani kwake nope . Au anaambiwa nimechoka . So hawezi kupewa akitoka nje anawekwa vikao nananyimwa haki yake kila siku kapewa tu siku ndoa ...
Kuna mengi kwenye hizi ndoa kabisa .Sijui nanyie mjazilishie?? Maana mtu kuishi na mtoto wa mtu kerooo
Ni kweli ila kuoa ni muhimu .Wengi elimu ya ndoa, mume ni nani na mke ni nani na wanapaswa kuishi katika furaha na hudhuni, namna ya kuishi na ndugu wa aina zote, majirani, etc ni changamoto mimi kuoa hapana sitaki kabisa acha niendelee na episodes maana mbususu zipo kwa ajili, "Nafsi yasema enyi warembo wazuri wenye mbususu mnato na chuchuz njoo kwangu kwa maana ufunguo wenu wa raha na furaha ninao mimi na upo ghetto" Mungu awabariki sana, Ameen!!
Mimi kwa sasa hizi mbususu za huku nje tamu sana nipo nipo saana tuNi kweli ila kuoa ni muhimu .
Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi mtumishi .
😂😂😂😂LoohWengi elimu ya ndoa, mume ni nani na mke ni nani na wanapaswa kuishi katika furaha na hudhuni, namna ya kuishi na ndugu wa aina zote, majirani, etc ni changamoto mimi kuoa hapana sitaki kabisa acha niendelee na episodes maana mbususu zipo kwa ajili, "Nafsi yasema enyi warembo wazuri wenye mbususu mnato na chuchuz njoo kwangu kwa maana ufunguo wenu wa raha na furaha ninao mimi na upo ghetto" Mungu awabariki sana, Ameen!!
Oa acha ngono zembeMimi kwa sasa hizi mbususu za huku nje tamu sana nipo nipo saana tu
Baby wa hili jukwaa ndie atanishawishi kuoaOa acha ngono zembe
Kumbe unababe humu Sasa muoeBaby wa hili jukwaa ndie atanishawishi kuoa
Nikipata baby wa jf ndio ntaoaKumbe unababe humu Sasa muoe