Mzee wa fact
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 246
- 228
Eti wadau nimeikuta mahali ivi ni kweli ukichanganya pepsi na karanga zilizokaangwa inaongeza nguvu za kiume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha naona mnataka karanga zipande bei!Eti wadau nimeikuta mahali ivi ni kweli ukichanganya pepsi na karanga zilizokaangwa inaongeza nguvu za kiume?
Ungia na mrungi!Eti wadau nimeikuta mahali ivi ni kweli ukichanganya pepsi na karanga zilizokaangwa inaongeza nguvu za kiume?
HaziongeziEti wadau nimeikuta mahali ivi ni kweli ukichanganya pepsi na karanga zilizokaangwa inaongeza nguvu za kiume?
Duh....unataka kufanyaje mkuu. Unahisi huna nguvu?Eti wadau nimeikuta mahali ivi ni kweli ukichanganya pepsi na karanga zilizokaangwa inaongeza nguvu za kiume?
Hahaha..Hatimaye Wamemaliza mitihani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatimaye Wamemaliza mitihani
Remba ndio nini ?Remba ndyo mwisho wa yote Sasa hv mm napeta tu mwaka wa 5 huu ni kupeleka moto haswa