Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siki nyingine usirudie tena kuniumiza kwa wivu....
That will never happen again hubbySiki nyingine usirudie tena kuniumiza kwa wivu....
Thank you honey....That will never happen again hubby
I like to meet with all JF family, but I'm worry about anonymity personEven you my friend you dont like to meet me?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nimefuatilia thread yote nione kama umenitaja.... Haki mi nimwemwachia Mungu tu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] We Sky acha kunichekesha asubuhi hiiiHubby tutachinja like jongoo la mbegu au utanunua kuku kwaajili ya mgeni?
Wacha ni kuonyeshe ufundi wangu wa jikoni labda hubby aniangushe. Lakini hilo halikawaji kutokea.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] We Sky acha kunichekesha asubuhi hiii
Namuaminia Babu hatokuangusha bana wala usijaliWacha ni kuonyeshe ufundi wangu wa jikoni labda hubby aniangushe. Lakini hilo halikawaji kutokea.
Good morning sweetheartYes Mr DJ
Hapana, ntachinja lile beberu linalowapiga wenzake wakitaka kupanda.Hubby tutachinja like jogoo la mbegu au utanunua kuku kwaajili ya mgeni?
Ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaHapana, ntachinja lile beberu linalowapiga wenzake wakitaka kupanda.
Nadhani mgeni wetu utamkarangazia maini na kumchemshia utumbo.... ila chondechonde asije akanogewa akahamia mazima
Basi ngoja niongee na mzaramo wangu akukatie japo kanusu eka udumishe mila kimjinimjini....Hapo kwenye jembe ndio ulevi wangu.
Ila sasa huku mjini pamenidumaza kweli kweli
Basi ngoja kwanza mabinti zetu waende shule... usije ukawa mkwe wetu bila shuruti.Ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaa
Sitohamia ila nitakuwa nakuja kila mara