Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Comment kibao alafu hata mmoja anayetaman kukuona.

My friend hauna mchango humu.
Kaza.
 
Aiseeee nikianza kuwataja hapa nitajaza server ya jf[emoji4][emoji4][emoji4].
Ile team yangu kwanza wote natamani kuwaona japo wengine nishawaona.
My one and only Nyagei[emoji7] love you soo much Hubby[emoji131]
Sergio
Emmyta
Shunie
Sakayo
My Grandpa Asprin
BAK
Numbisa
Carba
Mwifwa
Dj Sepetu
Mzee mwenzangu Espy
Ni wengi mnooooo acha niishie hapo kwa muda
Girl....?? Its me you are looking for??

Am humbled. Pia babu anapenda kuiona sura yako...

Roho na mwili namwachia Mungu aamue...
 
Aiseeee nikianza kuwataja hapa nitajaza server ya jf[emoji4][emoji4][emoji4].
Ile team yangu kwanza wote natamani kuwaona japo wengine nishawaona.
My one and only Nyagei[emoji7] love you soo much Hubby[emoji131]
Sergio
Emmyta
Shunie
Sakayo
My Grandpa Asprin
BAK
Numbisa
Carba
Mwifwa
Dj Sepetu
Mzee mwenzangu Espy
Ni wengi mnooooo acha niishie hapo kwa muda
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]
 
Back
Top Bottom